Hawataki JK Apate Shahada ya MO IBRHIM?

Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.
Mwaka huu wabongo kazi tunayo! Are you serious? Yaani pamoja na matatizo yote ya nchi hii wewe mshikaji umeibuka na nchi/ (sorry) rais kukosa tuzo tu? Walimu wako wamepata kazi sana kukufikisha hapo ulipo kitaaluma! Jaamani watz tumerogwa kabisa...!
 
hivi wewe ni liz1 au....mbona umeshupalia hivi?? sasa hizo hela akipewa JK zinakuhusu nini wewe??

Mimi ni Mtanzania. Fedha zitawekezwa Tanzania, uwekezaji utatupatia ajira nk.
Hata wewe utafaidika.
 
Mwaka huu wabongo kazi tunayo! Are you serious? Yaani pamoja na matatizo yote ya nchi hii wewe mshikaji umeibuka na nchi/ (sorry) rais kukosa tuzo tu? Walimu wako wamepata kazi sana kukufikisha hapo ulipo kitaaluma! Jaamani watz tumerogwa kabisa...!

Kuwa na matatizo haimaanishi uache kufikiri mambo mengine ya manufaa.
Matatizo yapo ili tupambane nayo na kisha tusonge mbele.

Au wewe ukipatwa na matatizo ndo kujifunika blanketi pale ulipoangukia?...

Acha uvivu wa kufikiri, chemsha bongo, amka, simama, jikung'ute, songa mbele.
 
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.

He will never qualify.Labda kwa sababu ni agent muhimu wa "the ellite" wampendelee.
 
From reliable sources: JK is now among top candidates for 2016 prize.

How can they think on a president with more than 4 solid yrs in office? By the way, the MO prize it is not a must win prize like a lottery so they might be named but lack what it takes to win the prize.

If is just matter of mathematics thing, i agree with you that in 2016 if JK will leave the office will have the chance to be considered atleast in preliminary stages of MO prize!
 
Bwana Kishongo wapo marais wengi watakuwa wamemaliza muda wao 2016 wakati tuzo ya MO Ibrahim itakapo kuwa inatolewa.lakini kwanini tusijaribu kuangalia nani ataweza kuibuka kidedea mwaka huu? Mubaraka out, Ben Ali out, Omar Bongo marehemu, Yaradua marehemu,Gabgo out,So anabaki Karume. Kwanini Karume? Katika marais wote hao yeye amejipambanua kuwa letea maendeleo watu wake-Znz ni nchi chache barani africa ambayo inaweza kufikia at least malengo 8 ya melenia pamoja na udhaifu wa uongozi aliokuwa nao,ameleka amani na ameheshimu katiba.
Kwanini JK hawezi kupata tuzo hii?, kwanza hakuna uthibitisho kwamba hatamaliza muhula wa pili.Pili hii zawadi inatolewa baada ya kumaliza vipindi vyako ukifa katika hatujui MO ibrahim wanasemaje?. The only chance aliyokuwa nayo JK ilikuwakukubali matokeo ya uchaguzi mwaka jana na kukabidhi madaraka. JK hafiki hata nusu ya BWM kwahiyo hasahau!
 
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.

.....................pumba


CHADEMA haiuna uhusiano na MO Foundation. Kamuulize Salim Ahmed Salim
 
From reliable sources: JK is now among top candidates for 2016 prize.

Ni kweli kutokana na The African Presidents Index magazine, JK was ranked the 10th candidate with 60.39 marks (B-). Lakini, kunanafasi ya marks kupungua zaidi kutokana na failures zinazoendelea kutokea. Toleo la January 2, 2011 liliorodhesha failures kama, Malalamiko ya matokeo ya uraisi wake wa awamu ya pili, Wabunge wa CDM kutoka nje ya Bunge, Kushindwa kudhibiti mauaji ya ndugu zetu maalbino nk. Source: The African Presidents Index,
Kwa hiyo sidhani kama ataendelea kubaki kwenye hiyo kumi bora.

African Presidents Index: the good, the bad the ugly
 
Dunia nzima inasifia utawala wake. Wewe uko wapi?<br />
<br />
Wanatushangaa kwamba baadhi yetu hatum-appreciate.
<br />
<br />

Acha wao wamthamini, unafikiri ni mchezo kuruhusu kubadilishana pande la dhahabu kwa neti ya mbu. Utakuwa huna shukrani usipo mthamini mtu aliyekusaidia kiasi hicho.

Tehe tehe teheee! Lakini mwitongo kituo cha afya hakina dawa, darasa halina dawati na mwalim kakopwa zaidi ya miezi 6. Unategemea huyu wa mwitongo athamini nini!
 
Wenye kujua vigezo vya utendaji bora ndio wanaompa hiyo tuzo.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kama maoni yako ni kwamba 'ameshindwa kazi', wenzako wanaojua kupima viongozi kimataifa wana mtizamo tofauti.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hana wa kushindana naye Africa kwa sasa, uwezekano mkubwa tuzo litakuja Tz 2016 kupitia JK.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Kwa mwendo huu Libya nao wanahihitaji, jamaa anarusha madege ya kivita kuwashughulikia raia wema wa nchi yake. Hapo vipi?
 
Mimi ni Mtanzania. Fedha zitawekezwa Tanzania, uwekezaji utatupatia ajira nk.<br />
Hata wewe utafaidika.
<br />
<br />

Kamuuliziye Chenge kama vijisenti vyake vipo CRDB, NMB, au NBC. Tihi tihiii tihiii stretch your mind
 
. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote. Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.

Kishongo, ukiacha unazi pembeni, unaamini kabisa JK nae anaweza kuwa miongoni mwa candidates kwenye hiyo zawadi iliyotukuka?

Well, I know he does not fit. Hata kama akiipata kwa njia za ajabu (Maalimu Shekhe Yahya permitting...) , atakuwa ameipata yeye na familia yake (na si waTZ wote). Ile cash anapwa mtu personally na si nchi. JK huyu atakwenda kuitapanya huko nje na kubembea bembea tu.
 
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.

Kwani JK Aa.k.a mkwere ni Raisi wa watanzania.............................???????!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.

Kwa kitu gani alicholifanyia taifa letu wakati watu wanauawa wanapoandamana, wanaitwa wahaini wanapotumia haki zao za kikatiba, ufisadi umepamba kasi, na uchumi unazidi kudidimia, wakati wizi wa kura ndiyo imekuwa jadi. Hastahili kwa chochote kile. Aondoke atuachie nchi yetu.
 
thubutu.!!mkwere kupata hii tuzo kutafanya thamani ya hii tuzo kuporomoka..labda ungeniambia amekuwa nominated kwenye KILI MUSIC AWARDS ningeamini coz jamaa ni msanii tu,na si mo ibrahim
 
Thread imepata at least 59 posts,zote isipokua zake kishongo zinaona hii ni C.R.A.P. Kiukweli HE ISN'T WORTH EVEN THOSE NEGATIVE COMMENTS! Nashauri thread kama hizi,hata ikikukera vipi,DON'T POST ANYTHING! Just leave it to disappear in thin air like that! Tuna mambo mengi sana ya msingi kujadili,not these NONSENSES!
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.

Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania.

Hata hivyo inasikitisha kuona kuwa CDM wanaendeleza vitendo visivyo vya kizalendo ambavyo vinaweza kusababisha tuzo hiyo ikaota mbawa.

Yafaa uongozi wa CDM utafakari suala hili kwa makini. Waelewe kuwa wanaweza kutoka mchango muhimu kuhakikisha kuwa Tanzania inapata tuzo hii ya heshma kwa mara ya kwanza. Akiipata JK, tutakuwa tumeipata wa-Tz wote.

Wakati mwingine ni muhimu kuweka ushabiki wa kichama pendeni na kulinda maslahi ya kitaifa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom