Hawana sifa za kuongoza nchi

Hawana sifa za kuongoza nchi

1:EDWARD LOWASA.....huyu anatumia nguvu kubwa sana kuusaka uraisi, kama uwaziri mkuu ulimshinda sidhani kama anaweza kuongoza Tanzania.Ni mtu anayesemekana kua na maamuzi magumu lakini anashindwa hata kutetea haki yake ndani ya chama, sasa kwa namna hii hatatufaa.

2:BENARD MEMBE.....Huyu amekua mkimya mnoo, hatuelewi misimamo yake juu ya mambo muhimu yanayotikisa nchi, mfano tu juu ya escrow saga hatukusikia kauli yake.Tanzania ya leo, hatuhitaji watu wa aina yake kutuongoza.

3:JOHN MAGUFURI....scandal ya bil 256 inajidhihirisha kabisa kua nae ndio walewale tu.Pia kuna uzi hapa wa ocampo four alimchambua vizuri sana sipendi kurudia

4😀R SLAA...Ukimsikiliza kwa makini utagundua nae hana jipya, hana fikra mpya juu ya tanzania ya miaka mingi ijayo.Kila siku analalamika tu ufisadi ufisadi, hatuambii ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kuondokana na ufisadi na wizi wa rasilimali za umma.Hatuhitaji mtu wa kulalamika, tunahitaji mtu wa kutupa solution za matatizo yaliyopo.

5:IBRAHIM LIPUMBA. ...ameshindwa kuendeleza CUF kwa upande wa bara, sidhani kama anaweza kuindeleza tanzania.



Najua wengi nimewagusa pls msije na mitusi, tujadili kwa hoja.
Usiogope, matusi lazima utandikwe, maana umeshachokonoa mzinga wa nyuki watakuuma tu!!
 
1:EDWARD LOWASA.....huyu anatumia nguvu kubwa sana kuusaka uraisi, kama uwaziri mkuu ulimshinda sidhani kama anaweza kuongoza Tanzania.Ni mtu anayesemekana kua na maamuzi magumu lakini anashindwa hata kutetea haki yake ndani ya chama, sasa kwa namna hii hatatufaa.

2:BENARD MEMBE.....Huyu amekua mkimya mnoo, hatuelewi misimamo yake juu ya mambo muhimu yanayotikisa nchi, mfano tu juu ya escrow saga hatukusikia kauli yake.Tanzania ya leo, hatuhitaji watu wa aina yake kutuongoza.

3:JOHN MAGUFURI....scandal ya bil 256 inajidhihirisha kabisa kua nae ndio walewale tu.Pia kuna uzi hapa wa ocampo four alimchambua vizuri sana sipendi kurudia

4😀R SLAA...Ukimsikiliza kwa makini utagundua nae hana jipya, hana fikra mpya juu ya tanzania ya miaka mingi ijayo.Kila siku analalamika tu ufisadi ufisadi, hatuambii ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kuondokana na ufisadi na wizi wa rasilimali za umma.Hatuhitaji mtu wa kulalamika, tunahitaji mtu wa kutupa solution za matatizo yaliyopo.

5:IBRAHIM LIPUMBA. ...ameshindwa kuendeleza CUF kwa upande wa bara, sidhani kama anaweza kuindeleza tanzania.



Najua wengi nimewagusa pls msije na mitusi, tujadili kwa hoja.

Subiri ilani ya uchaguzi ya Ukawa ndiyo utaona mipango inayitekelezeka na itakayoiondoa CCM. Watu wako kazini sasa hivi.
 
Subiri ilani ya uchaguzi ya Ukawa ndiyo utaona mipango inayitekelezeka na itakayoiondoa CCM. Watu wako kazini sasa hivi.

Ndoto za abunuasi izo maana hata Slaa rais wenu alisema hayo mwaka 2005 lakin akaambulia patupu
 
kuhusu Lowasa nakuunga mkono ila sababu kubwa ya kutofaa kwake ni kukosa uadilifu. Hili hata mwalimu aliliona mapema
 
Usiogope, matusi lazima utandikwe, maana umeshachokonoa mzinga wa nyuki watakuuma tu!!

Mkuu,

Nimecheka sana hii comment yako ni Kweli asubiri matusi maana wale vijana wa ufipa wakiona hii comment yako watakutukana, watakuvua nguo hadharani, watakunanga sana hadi utakipata kilichomtoa kanga manyoa kichwani!

Subiri waamke utakiona cha moto
 
Subiri ilani ya uchaguzi ya Ukawa ndiyo utaona mipango inayitekelezeka na itakayoiondoa CCM. Watu wako kazini sasa hivi.

Hadi Sasa upo salama Subiri waamke utakiona cha moto....yaani wewe umechokoza nyuki mchana kweupe, watoto wa ufipa watakushambulia kama paka mwizi
 
1:EDWARD LOWASA.....huyu anatumia nguvu kubwa sana kuusaka uraisi, kama uwaziri mkuu ulimshinda sidhani kama anaweza kuongoza Tanzania.Ni mtu anayesemekana kua na maamuzi magumu lakini anashindwa hata kutetea haki yake ndani ya chama, sasa kwa namna hii hatatufaa.

2:BENARD MEMBE.....Huyu amekua mkimya mnoo, hatuelewi misimamo yake juu ya mambo muhimu yanayotikisa nchi, mfano tu juu ya escrow saga hatukusikia kauli yake.Tanzania ya leo, hatuhitaji watu wa aina yake kutuongoza.

3:JOHN MAGUFURI....scandal ya bil 256 inajidhihirisha kabisa kua nae ndio walewale tu.Pia kuna uzi hapa wa ocampo four alimchambua vizuri sana sipendi kurudia

4😀R SLAA...Ukimsikiliza kwa makini utagundua nae hana jipya, hana fikra mpya juu ya tanzania ya miaka mingi ijayo.Kila siku analalamika tu ufisadi ufisadi, hatuambii ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kuondokana na ufisadi na wizi wa rasilimali za umma.Hatuhitaji mtu wa kulalamika, tunahitaji mtu wa kutupa solution za matatizo yaliyopo.

5:IBRAHIM LIPUMBA. ...ameshindwa kuendeleza CUF kwa upande wa bara, sidhani kama anaweza kuindeleza tanzania.



Najua wengi nimewagusa pls msije na mitusi, tujadili kwa hoja.

Mbona na wewe unalalamika tu, toa mbadala wao!
 
Ndugu watu wa kusini wasafi ndugu karibia wote kuanzia mwandosya

Hatuhitaji tu usafi wa mtu bali uwezo wake kiutendaji ndo msingi wa mambo yote.Mwandosya hajuhusishwa na kashfa yoyote ya ufisadi lakn pıa hana record ya chochote muhmu alichofanya.Nilishagaa kwenye escrow saga akijenga hoja ati hela ilikuwa ya serikali kwa sababu ilikuwa kwenye vitabu vya maheşabu ya BOT &TANESCO-profesa???Walele wale tu!Hajuı kuwa liabilities zınatakiwa kuonekana kwenye vitabu?Jembe ni Slaa na Chadema.Slaa anasimamia dhana kuu ya uwajibıkajı wa wananchı na viongozi wa umma pamoja na elimu bora fullstop.Ufisadi na mengne ni mnyambuliko wa hayo mawl.
 
Maamuzi magumu ya kumfata shetani? Mtu ukiwa desparate ni balaa. Nani anataka maamuzi magumu? Ivi definition ya maamuzi magumu ninini?
 
Mkuu unapo sema dr slaa. Hana jipya unakosea sana kumbuka dr slaa kipindi kile yuko bungeni aliwahi kuchukua tuzo kwa kuongoza kuuliza maswali ya msingi bungeni na tena ukiangalia katika watu uliowaweka bapo juu dr slaa ndio anaongoza kwa kuwa na nidhamu amini usiamini.
 
Mkuu unapo sema dr slaa. Hana jipya unakosea sana kumbuka dr slaa kipindi kile yuko bungeni aliwahi kuchukua tuzo kwa kuongoza kuuliza maswali ya msingi bungeni na tena ukiangalia katika watu uliowaweka bapo juu dr slaa ndio anaongoza kwa kuwa na nidhamu amini usiamini.

mkuu usiogope...mtoa thread mwenyewe anajua Dr slaa namba nyingine sema amemuweka kubalance hoja mfu yake
 
Hatuhitaji tu usafi wa mtu bali uwezo wake kiutendaji ndo msingi wa mambo yote.Mwandosya hajuhusishwa na kashfa yoyote ya ufisadi lakn pıa hana record ya chochote muhmu alichofanya.Nilishagaa kwenye escrow saga akijenga hoja ati hela ilikuwa ya serikali kwa sababu ilikuwa kwenye vitabu vya maheşabu ya BOT &TANESCO-profesa???Walele wale tu!Hajuı kuwa liabilities zınatakiwa kuonekana kwenye vitabu?Jembe ni Slaa na Chadema.Slaa anasimamia dhana kuu ya uwajibıkajı wa wananchı na viongozi wa umma pamoja na elimu bora fullstop.Ufisadi na mengne ni mnyambuliko wa hayo mawl.

Watu wa kusini wasafi na watendaji pia,eti mwandosya ajafanya kitu,Ivi ww una akili kweli???Usije kuthubutu kuongea ivyo mbele za watu maana utapigwa vibao ndugu,mwandosya amefanya mengi sana akiwa katika wizara,uyo slaa kafanya nini zaidi tu ya kutaka urais kwa nguvu,kwanza naye ni msaliti kama zito maana alisaliti kanisa katoliki kwa ajili ya tamaa zake za kimwili,
 
1:EDWARD LOWASA.....huyu anatumia nguvu kubwa sana kuusaka uraisi, kama uwaziri mkuu ulimshinda sidhani kama anaweza kuongoza Tanzania.Ni mtu anayesemekana kua na maamuzi magumu lakini anashindwa hata kutetea haki yake ndani ya chama, sasa kwa namna hii hatatufaa.

2:BENARD MEMBE.....Huyu amekua mkimya mnoo, hatuelewi misimamo yake juu ya mambo muhimu yanayotikisa nchi, mfano tu juu ya escrow saga hatukusikia kauli yake.Tanzania ya leo, hatuhitaji watu wa aina yake kutuongoza.

3:JOHN MAGUFURI....scandal ya bil 256 inajidhihirisha kabisa kua nae ndio walewale tu.Pia kuna uzi hapa wa ocampo four alimchambua vizuri sana sipendi kurudia

4😀R SLAA...Ukimsikiliza kwa makini utagundua nae hana jipya, hana fikra mpya juu ya tanzania ya miaka mingi ijayo.Kila siku analalamika tu ufisadi ufisadi, hatuambii ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kuondokana na ufisadi na wizi wa rasilimali za umma.Hatuhitaji mtu wa kulalamika, tunahitaji mtu wa kutupa solution za matatizo yaliyopo.

5:IBRAHIM LIPUMBA. ...ameshindwa kuendeleza CUF kwa upande wa bara, sidhani kama anaweza kuindeleza tanzania.



Najua wengi nimewagusa pls msije na mitusi, tujadili kwa hoja.

Toa mapendekezo "nani anafaa"?
 
Back
Top Bottom