cardiologue
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 351
- 90
1:EDWARD LOWASA.....huyu anatumia nguvu kubwa sana kuusaka uraisi, kama uwaziri mkuu ulimshinda sidhani kama anaweza kuongoza Tanzania.Ni mtu anayesemekana kua na maamuzi magumu lakini anashindwa hata kutetea haki yake ndani ya chama, sasa kwa namna hii hatatufaa.
2:BENARD MEMBE.....Huyu amekua mkimya mnoo, hatuelewi misimamo yake juu ya mambo muhimu yanayotikisa nchi, mfano tu juu ya escrow saga hatukusikia kauli yake.Tanzania ya leo, hatuhitaji watu wa aina yake kutuongoza.
3:JOHN MAGUFURI....scandal ya bil 256 inajidhihirisha kabisa kua nae ndio walewale tu.Pia kuna uzi hapa wa ocampo four alimchambua vizuri sana sipendi kurudia
4😀R SLAA...Ukimsikiliza kwa makini utagundua nae hana jipya, hana fikra mpya juu ya tanzania ya miaka mingi ijayo.Kila siku analalamika tu ufisadi ufisadi, hatuambii ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kuondokana na ufisadi na wizi wa rasilimali za umma.Hatuhitaji mtu wa kulalamika, tunahitaji mtu wa kutupa solution za matatizo yaliyopo.
5:IBRAHIM LIPUMBA. ...ameshindwa kuendeleza CUF kwa upande wa bara, sidhani kama anaweza kuindeleza tanzania.
Najua wengi nimewagusa pls msije na mitusi, tujadili kwa hoja.
2:BENARD MEMBE.....Huyu amekua mkimya mnoo, hatuelewi misimamo yake juu ya mambo muhimu yanayotikisa nchi, mfano tu juu ya escrow saga hatukusikia kauli yake.Tanzania ya leo, hatuhitaji watu wa aina yake kutuongoza.
3:JOHN MAGUFURI....scandal ya bil 256 inajidhihirisha kabisa kua nae ndio walewale tu.Pia kuna uzi hapa wa ocampo four alimchambua vizuri sana sipendi kurudia
4😀R SLAA...Ukimsikiliza kwa makini utagundua nae hana jipya, hana fikra mpya juu ya tanzania ya miaka mingi ijayo.Kila siku analalamika tu ufisadi ufisadi, hatuambii ni mbinu gani zinaweza kutumika ili kuondokana na ufisadi na wizi wa rasilimali za umma.Hatuhitaji mtu wa kulalamika, tunahitaji mtu wa kutupa solution za matatizo yaliyopo.
5:IBRAHIM LIPUMBA. ...ameshindwa kuendeleza CUF kwa upande wa bara, sidhani kama anaweza kuindeleza tanzania.
Najua wengi nimewagusa pls msije na mitusi, tujadili kwa hoja.