kumbe na huku upo. ...uganga vipi au umeuza tunguri. .???Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!
Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde
Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile
-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari
-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani
Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
Bro,kwanza shikamoo.Umejiandaa vzr?Hauko Kwenye nyumba ya vioo? Hatutaki zile kauli za "Bring back our mshana alive".Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!
Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde
Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile
-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari
-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani
Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital
Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.
Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.
Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"
Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.
Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
Mkuu huwa ipo hivi, Siri huwa ni ya watu 3, shetani, Mungu na mhusika mwenyewe.Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!
Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde
Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile
-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari
-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani
Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
Pole sana ndugu.Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital
Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.
Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.
Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"
Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.
Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
Hamna lolote ni siasa tu, kwakua ni mwanasiasa!Duh! ina maana huyo jamaa naye alikuwa na madhara kama Ulimboka kiasi cha watu kuacha shughli zao na kumshughlikia na yeye!
Nimehamasika kujua ni kipi alikuwa akifanya huyo jamaa ambacho ni tishio.
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital
Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.
Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.
Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"
Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.
Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
Ndiyo nashangaa kwamba huyo jamaa kafanya lipi hadi waangaike naye.Hamna lolote ni siasa tu, kwakua ni mwanasiasa!
Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!
Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde
Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile
-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari
-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani
Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
Mkuu mshana.Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!
Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde
Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile
-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari
-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani
Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
Wewe mzee tatizo lako hiwa unafikiri saaanaaaaa... Watatafuta sana mwaka huu...Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!
Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde
Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile
-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari
-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani
Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
Acha kutetea ujinga, ule ulikuwa ni uhaini tu hamna kingine