Mzunguko wa pesaUnaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
- wakaanga samaki
- wakaanga chipsi
- Waganga wa kienyeji
- makonda wa daladala
- madreva boda na bajaji
- wachekeshaji (comedian)
- wavuvi na wazamiaji
sababu ni moja they dont give a damn...maana wana deal na mambo mengi hata mwanamke mzuri akitokea anaona kwawaida na yuko kazini na wala hampi attention hiko ndicho wanawake huwa wanataka...ila maprofessor na hela zao wanajifanay wazungu atajifanya anamtoa dinner na kumfanya ajione malaika na hapo ndipo wanapokosea....wanawake ni viumbe wa ajabu sanaUnaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
- wakaanga samaki
- wakaanga chipsi
- Waganga wa kienyeji
- makonda wa daladala
- madreva boda na bajaji
- wachekeshaji (comedian)
- wavuvi na wazamiaji
hapo umemaliza kila kitu pia mwanamke anaweza kutembea nao wote hao bila nyie kujuaWe umemaliza kila kitu mada ifungwe mademu always wanapenda slope,
Hapo anajua akidate na muuza kiepe kama zero IQ basi atakuwa anakula kiepe yai ata kama hana hela, vivyo hivyo kwa muuza samaki atapata mboga free, konda kusafiri free, mganga sijajua labda uchawi wake au baadhi ya mashart ya dawa zake kuforce kuwamenya ili ifanya kazi,
Kingine ni ile ukiwa kwa hivyo vitengo asilimia 90 unakutana na mademu wakali, hivyo macho huzoea kuwaona mwisho unawakuta wa kawaida tu unawatongoza kwa fujo na kuwala kama wote,
Wanaume wengi wanaogopa kuwatongoza Wanawake wazuri wanaokutana nao kwa mara ya kwanza.
Unaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
- wakaanga samaki
- wakaanga chipsi
- Waganga wa kienyeji
- makonda wa daladala
- madreva boda na bajaji
- wachekeshaji (comedian)
- wavuvi na wazamiaji
duh duh la messi huyo mmoja kulia anaashilia kalala nae Mara tatu
Lita moja kwa pikipiki inaenda km , 60. Wacha tu wawakamue hao wanawake wenye pupaWanawake wanaweza pumbazika na kitu kidogo sana. Dereva boda anaweza mtoa ubungo akampeleka kimara akaona kafanyiwa jambo kubwa sana kumbe bodaboda katumia lita moja ya petrol ambayo ni sh elf 2 tu
Unaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
- wakaanga samaki
- wakaanga chipsi
- Waganga wa kienyeji
- makonda wa daladala
- madreva boda na bajaji
- wachekeshaji (comedian)
- wavuvi na wazamiaji
kabisaMungu ndivyo akivyoumba...wanawake wawe hivyo...unaweza mkuta mwanamke ana maisha mazuri kazi nzuri lakini ana kabakuli aka kadumu ka pembeni kachoma chipsi ama kaendesha bodaboda iku akijiskia hamu anakatafuta kanaenda kukapa bureee na hela juuu....
Hawa wametikana na ubavu wa Adamu.....kwa hiyo kuwapata unaowahitaji huwezi tumia ati nguvuuuu
rohoni na kichwani vinatofauti gani?Wosomi wengi sio wastaharabu na hawana heshima kwenye mahusiano, hao unao wataja matakwa yao yapo rohoni na ni kutoka rohoni sio vichwani kama kwa wasomi
Wanawake wanaweza pumbazika na kitu kidogo sana. Dereva boda anaweza mtoa ubungo akampeleka kimara akaona kafanyiwa jambo kubwa sana kumbe bodaboda katumia lita moja ya petrol ambayo ni sh elf 2 tu
unanyota ya jelaSipo kwenye hiyo list yako lakini nakula watoto wakali wabichi fresh from school.