Hawa watu wanaongoza kwa kumiliki wanawake wazuri wazuri hivi huwa kuna siri gani?

Unaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
  • wakaanga samaki
  • wakaanga chipsi
  • Waganga wa kienyeji
  • makonda wa daladala
  • madreva boda na bajaji
  • wachekeshaji (comedian)
  • wavuvi na wazamiaji
Mzunguko wa pesa
 
Unaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
  • wakaanga samaki
  • wakaanga chipsi
  • Waganga wa kienyeji
  • makonda wa daladala
  • madreva boda na bajaji
  • wachekeshaji (comedian)
  • wavuvi na wazamiaji
sababu ni moja they dont give a damn...maana wana deal na mambo mengi hata mwanamke mzuri akitokea anaona kwawaida na yuko kazini na wala hampi attention hiko ndicho wanawake huwa wanataka...ila maprofessor na hela zao wanajifanay wazungu atajifanya anamtoa dinner na kumfanya ajione malaika na hapo ndipo wanapokosea....wanawake ni viumbe wa ajabu sana
 
We umemaliza kila kitu mada ifungwe mademu always wanapenda slope,

Hapo anajua akidate na muuza kiepe kama zero IQ basi atakuwa anakula kiepe yai ata kama hana hela, vivyo hivyo kwa muuza samaki atapata mboga free, konda kusafiri free, mganga sijajua labda uchawi wake au baadhi ya mashart ya dawa zake kuforce kuwamenya ili ifanya kazi,

Kingine ni ile ukiwa kwa hivyo vitengo asilimia 90 unakutana na mademu wakali, hivyo macho huzoea kuwaona mwisho unawakuta wa kawaida tu unawatongoza kwa fujo na kuwala kama wote,

Wanaume wengi wanaogopa kuwatongoza Wanawake wazuri wanaokutana nao kwa mara ya kwanza.
hapo umemaliza kila kitu pia mwanamke anaweza kutembea nao wote hao bila nyie kujua
 
Umewasahau vibaka na wahuni
Unaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
  • wakaanga samaki
  • wakaanga chipsi
  • Waganga wa kienyeji
  • makonda wa daladala
  • madreva boda na bajaji
  • wachekeshaji (comedian)
  • wavuvi na wazamiaji
 
Mzunguko wa pesa
IMG_20190623_063241.jpeg
 
wabana cd
Unaweza kataliwa na dem ukazani anamilikiwa na profesa kumbe ni hawa watu;
Je: Kuna siri gani wanaofanya kazi hizi kupendwa na wanawake wazuri jamani!
  • wakaanga samaki
  • wakaanga chipsi
  • Waganga wa kienyeji
  • makonda wa daladala
  • madreva boda na bajaji
  • wachekeshaji (comedian)
  • wavuvi na wazamiaji
 
Mungu ndivyo akivyoumba...wanawake wawe hivyo...unaweza mkuta mwanamke ana maisha mazuri kazi nzuri lakini ana kabakuli aka kadumu ka pembeni kachoma chipsi ama kaendesha bodaboda iku akijiskia hamu anakatafuta kanaenda kukapa bureee na hela juuu....

Hawa wametikana na ubavu wa Adamu.....kwa hiyo kuwapata unaowahitaji huwezi tumia ati nguvuuuu
 
Mungu ndivyo akivyoumba...wanawake wawe hivyo...unaweza mkuta mwanamke ana maisha mazuri kazi nzuri lakini ana kabakuli aka kadumu ka pembeni kachoma chipsi ama kaendesha bodaboda iku akijiskia hamu anakatafuta kanaenda kukapa bureee na hela juuu....

Hawa wametikana na ubavu wa Adamu.....kwa hiyo kuwapata unaowahitaji huwezi tumia ati nguvuuuu
kabisa
 
Wosomi wengi sio wastaharabu na hawana heshima kwenye mahusiano, hao unao wataja matakwa yao yapo rohoni na ni kutoka rohoni sio vichwani kama kwa wasomi
 
Wosomi wengi sio wastaharabu na hawana heshima kwenye mahusiano, hao unao wataja matakwa yao yapo rohoni na ni kutoka rohoni sio vichwani kama kwa wasomi
rohoni na kichwani vinatofauti gani?
 
Back
Top Bottom