arooh?Jamani msitusingizie. Wavuvi kwa sasa tuko buzy na kutafuta soko la samaki nchi za nje. Siyo madem wazuri. Huu ni wakati wenu ma professor kuwala. Nao waamini kwa madem wazuri ni madreva wa malori
HahahaWanawake wanaweza pumbazika na kitu kidogo sana. Dereva boda anaweza mtoa ubungo akampeleka kimara akaona kafanyiwa jambo kubwa sana kumbe bodaboda katumia lita moja ya petrol ambayo ni sh elf 2 tu
Hapa, umemaliza uzi wote.kwanza pole kwa kukataliwa, pili maprofesa hawajui kutongoza ndiyo maana huambulia kuokota kikaragosi, tatu wanawake wazuri wanapenda kutafta kiota yaani mtu wa kudumu ambaye hamfatilii mambo yake ili wadange kwa Uhuru!
mfano nani mkuukwa kuwa hao wote uliotaja ni wenye tabia ya umalaya sana na hawana muda wa kufuatilia nini mrembo anafanya.... hao pia ni walaji wazuri wa wake za wanaume wazembe kitandani.
We umemaliza kila kitu mada ifungwe mademu always wanapenda slope,Uchawi, uwezo wao kitandani, Saundi Mingi, Huduma/Kazi zao kua most wanted, etc
hatari faya kwahiyo sangoma kama anazari la mentaliWe umemaliza kila kitu mada ifungwe mademu always wanapenda slope,
Hapo anajua akidate na muuza kiepe kama zero IQ basi atakuwa anakula kiepe yai ata kama hana hela, vivyo hivyo kwa muuza samaki atapata mboga free, konda kusafiri free, mganga sijajua labda uchawi wake au baadhi ya mashart ya dawa zake kuforce kuwamenya ili ifanya kazi,
Kingine ni ile ukiwa kwa hivyo vitengo asilimia 90 unakutana na mademu wakali, hivyo macho huzoea kuwaona mwisho unawakuta wa kawaida tu unawatongoza kwa fujo na kuwala kama wote,
Wanaume wengi wanaogopa kuwatongoza Wanawake wazuri wanaokutana nao kwa mara ya kwanza.
inaelekea unajua kusoma tunguri tu kusoma maandishi hujui?Na sisi waganga wa kienyej mbona umetusahau