Couple Fundi
Member
- Jul 9, 2014
- 17
- 8
Ni ukweli usiopingika kuwa asilimia kubwa ya Dada zetu hupenda sana chips mayai, chipsi kuku
Imefikia wakati wako radhi kula chakula icho hata Mara tatu kwa siku na hata mwezi mzima.
Hivi kuna Siri gani kwenye kiepe yai kwa wanawake ? Mana wanapenda sana bidhaa hii. Na wengi wao kwenye kiepe yai huwa hawaruki lazima watatumia tuu chakula hicho.
Imefikia wakati wako radhi kula chakula icho hata Mara tatu kwa siku na hata mwezi mzima.
Hivi kuna Siri gani kwenye kiepe yai kwa wanawake ? Mana wanapenda sana bidhaa hii. Na wengi wao kwenye kiepe yai huwa hawaruki lazima watatumia tuu chakula hicho.