The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Ungetuwekea tujisomee/tusikie wenyewe aliyosema huyo Daktari.
Kwa hivi ulivyofanya hapa ni kutulisha matango tu na kumfanya huyo Daktari aonekane kama juha fulani kwa kusema maneno kama hayo.
Daktari tulikua tunaongea nae ana kwa ana, pia kuna post inayofuata nimeeleza maswali niliyomuuliza.