Hawa wanawake wako dunia ipi?

Hawa wanawake wako dunia ipi?

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,914
Kwenye mitandao ya kijamii kila uchao kuna mavituko. Hawa walioko kwenye mitandao ya kijamii wanatoka hukuhuku mitaani tunakoishi

Lakini wanayoyasema huku mitandaoni hayapo kabisa huko mitaani

Hawa wa mitandaoni ni wema sana, Hawawatendi wenzao ila wao tu ndio wanaotendwa, Hawataki maisha ya fedha kwani wanadai eti hela inatafutwa

Bora hayo ila kali ni hii hapa

sex.jpeg

Wanataka wanaume ambao wakiwa faragha basi jamaa apige mzigo kama vile anaendesha baiskeli.

Lakini hawa wa huku mitaani hawataki hiyo kitu,wakiwa faragha hawataki ule biashara ya kupiga mzigo kama vile kesho haipo na ukilazimisha kupiga sana mzigo utakuja kujikuta una makovu mengi sana ya meno kifuani au sehemu zingine za mwili kutegemea na style umliyokuwa nayo wakati wa"mechi"

Wana isemo yao....Eti "mwanaume gani anakung'ang'ania kitandani utadhani kupe"?

"Anatwanga utadhani hii ni kinu"

Wa mitandaoni bana......
Hawa wa huku mitandaoni wanataka dushe kubwa

Wa mitaani
Hawa wa huku mitaani wao ukiwa na dushe kubwa utasikia tu wanakusema mitaani "mwanaume gani ana dushe kama mguu wa mtoto"?Huwa wanalalamika eti ukienda faragha na mwanaume huyo kesho yake utadhani umejifungua"

ssss.jpeg

Huwa tu najiuliza hawa wanawake ambao kila uchao wanakuja huku na kulalamikia sijui vibamia na uchovu wa wanaume huwa wanapatikana wapi?

Maana hawapo kabisa na kama wapo basi ni wachache sana

Ki ukweli kuna utofauti mkubwa sana kati ya maisha ya mtandaoni na ya mitaani,ukiyachukulia haya maisha hapa serious imekula kwako kabisaaaaa!
 
Kama wewe hujapata haina maana hawapo!!

Habari za asubuhi baba Paroko!!
Mbona hata parokiani wapo?
 
Kama wewe hujapata haina maana hawapo!!

Habari za asubuhi baba Paroko!!
Mbona hata parokiani wapo?

Kutokuwepo mitaani ni ishara ya kuwa hawapo kama wapo ni wachache sana

Za asubuhi ni njema kabisa

Hebu tuanze na wewe
Wapenda kubwa au?
 
Kutokuwepo mitaani ni ishara ya kuwa hawapo kama wapo ni wachache sana

Za asubuhi ni njema kabisa

Hebu tuanze na wewe
Wapenda kubwa au?[/QUOTE]

Au!!!

Kumbe sikukosea kuhama parokia!
 
kuna fake na vingine sio fake, kazi kwako kutambua kipi ni kipi
utakaposhindwa nitakusaidia....

Hebu nianze na wewe
Unapenda kubwa au?

Unapenda jamaa atwange kama kinu au?
 
umenikumbusha sub-topic fulani katika somo la economics inaitwa perfect competition market,

yenyewe inazungumzia juu ya uwepo wa aina fulani ya soko ambalo katika dunia ya kawaida halipo kabisa wala haitokaa litokee wala kuwezekana hata kidogo kutokana na vikwazo vingi katika biashara.

application hiyo hiyo ya perfection competition market ndio inayokuja kuwazoa wanawake ambao ni wakazi wa mitandaoni. wengi wao ni imaginary women! wengi wao mahitaji yao mkuu ni

  • mwanaume asiyelewa nyumbani
  • mwanaume mchapakazi
  • mwanaume anayeijali familia at any cost.
  • mwanaume anaewafikisha kileleni at any cost.
vingi kati ya hivyo ukiangalia vinaweza kuwezekana kufanyika, lakini in the real world, kuna vikwazo vingi sana vinavyofanya mtu kama mtu kukumbana na vitenzi vinavyorudisha nyuma mipango katika maisha..
 
Kweli mkuu .........

Ila huku uswazi hawapo kabisaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ndo sisi tunakutana sokoni nanunua dagaa, nyanya chungu n.k
nahemea vitumbua vya kunywea chai pale kwa bibi athumani
ila huku ntaandika natoka shopping supermarket nimenunua fillet na hapo kwenye vitumbua ntasema nimekula baga
Mupenzi anaishi nyumba ya pili kutoka hapa uswazi kwetu anazurura tu ila huku ntasema yupo nje kikazi
rahaaa utamuuuuu
 
umenikumbusha sub-topic fulani katika somo la economics inaitwa perfect competition market,

yenyewe inazungumzia juu ya uwepo wa aina fulani ya soko ambalo katika dunia ya kawaida halipo kabisa wala haitokaa litokee wala kuwezekana hata kidogo kutokana na vikwazo vingi katika biashara.

application hiyo hiyo ya perfection competition market ndio inayokuja kuwazoa wanawake ambao ni wakazi wa mitandaoni. wengi wao ni imaginary women! wengi wao mahitaji yao mkuu ni

  • mwanaume asiyelewa nyumbani
  • mwanaume mchapakazi
  • mwanaume anayeijali familia at any cost.
  • mwanaume anaewafikisha kileleni at any cost.
vingi kati ya hivyo ukiangalia vinaweza kuwezekana kufanyika, lakini in the real world, kuna vikwazo vingi sana vinavyofanya mtu kama mtu kukumbana na vitenzi vinavyorudisha nyuma mipango katika maisha..

Aisee umeongea jambo la msingi sana

Tatizo hawajui haya

Niliwahi kuwaambia hapa wakati mmoja kuwa waache kuwaumba wanaume wanaowataka vichwani mwao lakini inaonekana hawajifunzi au kama wanajifunza basi ni wachache sana

Ngoja tuwaachie mazingira yawafundishe!
 
Back
Top Bottom