nani alie msafiDuh wananchi wanaoishi bila umeme wanamtetea aliwaletea giza, ha! Ha! Ha! Mtu hakuiba anapewa nafasi bungeni ajibu tuhuma anakimbia, sasa anadai alionewa.
- Pasco Mwalimu naye vipi alimuonea bosi aliposema ni mwizi? Wewe mwenyewe umekubali kwamba Lowassa ni shetani sasa unageuka tena vipi mkuu? Lowassa kuondolewa CC haikuwa by accident mnahangaika bure! Hasafishiki!