I suspect the so called moderators wametumwa na CCM kuuwa JF na ndio maana watu wote wa maana wnawashit.!!
Ahsante kwa kutoa msamaha naamini hata 9 Desemba, 2008 Mh. JK atakapowasamehe wafungwa na wewe utaungana naye tena kusamehe.Du, Mkuu, mpaka Mramba atinge kortini ndo unatoa msamaha lol.
Anyway, good gesture and I hope itazidi kuiinua JF. Kudos kwa moyo wa kusamehe