Hawa Waha wanaokopesha vyombo ni wachawi kweli kweli

beatboi

JF-Expert Member
Mar 29, 2021
447
1,097
Nilijaribu kukopa begi la elfu 65 huku nikilipishwa bukumbili kila siku hadi itimie yote, kwa thamani ya lilie begi Kariakoo imezidi sana 35 ndio nikapanga kumlipa 40 kwa huruma yangu.

Sasa hawa jamaa huwezi kuwadhurumu aseee, hata ukisafiri mwaka ukirudi utamkuta anakusubiri.

Kuna jamaa yangu bingwa wa kutapeli lakini amefeli mission zote, yeye alichukua feni sasa kila chocho atakayopita muha huyu hapa, na siku akiwa job muha hatokei ila akiwa home tuh Muha anaoteshwa huko chap amefika na daftari lake, jamaa bila kudaiwa yeye mwenyewe anatoa pesa yake.

Hawa jamaa ni hatari kwa mambo ya mikopo usijaribu kuwakopa kama huna uhakika maana kazi ya kukopeshana na kudaiana ilivyo ngumu lakin kwao wanaimudu kwelikweli.
 
Nilijaribu kukopa begi la elfu 65 huku nikilipishwa bukumbili kila siku hadi itimie yote, kwa thamani ya lilie begi Kariakoo imezidi sana 35 ndio nikapanga kumlipa 40 kwa huruma yangu.

Sasa hawa jamaa huwezi kuwadhurumu aseee, hata ukisafiri mwaka ukirudi utamkuta anakusubiri.

Kuna jamaa yangu bingwa wa kutapeli lakini amefeli mission zote, yeye alichukua feni sasa kila chocho atakayopita muha huyu hapa, na siku akiwa job muha hatokei ila akiwa home tuh Muha anaoteshwa huko chap amefika na daftari lake, jamaa bila kudaiwa yeye mwenyewe anatoa pesa yake.

Hawa jamaa ni hatari kwa mambo ya mikopo usijaribu kuwakopa kama huna uhakika maana kazi ya kukopeshana na kudaiana ilivyo ngumu lakin kwao wanaimudu kwelikweli.
😂😂
 

Similar Discussions

20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom