Wanawala sana wake za watu. Tena hawajyi kuhonga. Ni dawa tu wamechanjia kwenye ulimi au kinywa
Wewe endelea tu kumruhusu mke wako acheke na wahaSio kweli.
Sa jamaa alikimbia tena ama aliendelea na maisha yake...?Kuna mama mmoja hpa kitaa deni lilikuwa kubwa akataka akimbie, ile siku ya kuhama Muha amefika ngoma ikaenda hadi kwa mjumbe ikabidi wagawane vyombo
Waha si mchezo 😀Kuna mama mmoja hpa kitaa deni lilikuwa kubwa akataka akimbie, ile siku ya kuhama Muha amefika ngoma ikaenda hadi kwa mjumbe ikabidi wagawane vyombo
Aaah alisepa ama...Sio jamaa ni mmama, aliacha baadhi ya vyombo
Mkuu unapokopa wala hupangi kua hutolipa , na unakua na mipango hasa kua mtalipa hivi au vile. Sasa Kwa kua kukopa ni Pepo , hivi ukipata hela ya kulipa linakuja wazo ngoja nimpe robo wakat mfukoni ipo yote . Hapo ndio shida huanzia mkuuIvi kwanini mtu anakua na roho ya utapeli,kwanini mtu anachukua kitu Cha mtu unajua kabisa sitomlipa.
Aisee tubadilike.
Ukijua ni kukopa ujue na kulipa ukiweza kukopesha na kudai uwezeNilijaribu kukopa begi la elfu 65 huku nikilipishwa bukumbili kila siku hadi itimie yote, kwa thamani ya lilie begi Kariakoo imezidi sana 35 ndio nikapanga kumlipa 40 kwa huruma yangu.
Sasa hawa jamaa huwezi kuwadhurumu aseee, hata ukisafiri mwaka ukirudi utamkuta anakusubiri.
Kuna jamaa yangu bingwa wa kutapeli lakini amefeli mission zote, yeye alichukua feni sasa kila chocho atakayopita muha huyu hapa, na siku akiwa job muha hatokei ila akiwa home tuh Muha anaoteshwa huko chap amefika na daftari lake, jamaa bila kudaiwa yeye mwenyewe anatoa pesa yake.
Hawa jamaa ni hatari kwa mambo ya mikopo usijaribu kuwakopa kama huna uhakika maana kazi ya kukopeshana na kudaiana ilivyo ngumu lakin kwao wanaimudu kwelikweli.