Hawa sokwe/nyani wa siku vipi? Mbona hawabadiliki kuwa watu?

Wewe tuu hufuatilii mabadiliko yao.... wanabadilika kwa kasi na hawa waitwao PROBOSCIS MONKEY wanakaribia kuwa wazungu

upload_2018-1-25_21-5-6.jpeg
upload_2018-1-25_21-5-6.jpeg


upload_2018-1-25_21-5-40.jpeg
upload_2018-1-25_21-5-40.jpeg


upload_2018-1-25_21-6-13.jpeg
upload_2018-1-25_21-5-6.jpeg
upload_2018-1-25_21-5-40.jpeg
upload_2018-1-25_21-6-13.jpeg
upload_2018-1-25_21-6-13.jpeg


upload_2018-1-25_21-7-10.jpeg
upload_2018-1-25_21-7-10.jpeg
 
apparently....ni body can predict the future...(at least for the current technology).... But evolution is real..huwezi kuniuliza binadamu atakuwa nani wakati bado hajawa......let's wait 2 or 5 mil years...then kama utakuwepo utatuambia binadamu kawa nani....
Nadhani issue hapa sio evolution.. issue ni source ya mwanadamu.. and I'm not agree with the concept of human being came from Apes
 
Nadhani issue hapa sio evolution.. issue ni source ya mwanadamu.. and I'm not agree with the concept of human being came from Apes
Mkuu what do u think?
Binadamu alianzaje??
Tulianza kama binadamu hivi hivi au tulikuwa viumbe wengine ndio tukachange kuwa hivi tulivyo?
 
Nadhani issue hapa ni apart from that process bado kungekuwa na transition generation ambayo inaexist.. i mean kungekuwa na creatures who are not Apes nor Human beings
Mkuu so sorry kwanin uliamua Tumia hiyo user name " conjugal" kama hutojali
 
Tumia akili yako tu ya kuzaliwa, kwa hiyo binadamu katokana na nyani? Na kama evolution inachukua miaka hata milion, sasa tangu hiyo dhana mliyolishwa ni miaka mingapi imepita? aliyekuja na iyo dhana alishuhudia hiyo miaka milioni nyuma kuwa binadanu alibadirika kutokana na nyani, je na nyani alitokana na nini?
 
Kwahiyo wanasayansi wanauwezo wa kutambua nini kilitokea miaka 5m nyuma na hawana uwezo wa kutambua nini kitatokea miaka 5m mbele eti?
Achana nao hawana hata akili ya kawaida ya kuzaliwa, kila wanachoambiwa na mzungu wanaamini. Aibu sana binadamu mwenye akili timamu kuamini upuuzi huu.
 
Duh shule ni ngumu sana...
Evolution(kama vitabu vinavyosema) inachukua muda sana..wewe huwezi kushuhudia evolution kwa generation moja.. evolution inachukua miaka hata mil 1..sasa wewe utakuwepo hio miaka mil 1 uone kama sokwe anambadilika..
Kwahio mpak leo hakuna sokwe kwenye miaka million co, lol
 
apparently....ni body can predict the future...(at least for the current technology).... But evolution is real..huwezi kuniuliza binadamu atakuwa nani wakati bado hajawa......let's wait 2 or 5 mil years...then kama utakuwepo utatuambia binadamu kawa nani....
Sasa ndo umeongea nin
 
Na hao viumbe wengine walianzaje
Katika evolution tukisema binadamu ametokana na nyani hatumaanishi nyani alishushwa...

Hii tunakuja kwenye maada nyingine ya origin of life hii nayo ina theory nyingi lakini inayo aminiwa sana ni hii ya kuwa life ilianza baada ya elements of life kam hydrogen, carbon na nitrogen zilipoungana under specific environment ndo life ikatokea..
Baada ya hapo simple form ya life kama bacteria ndo yakwanza kutokea ikaevolve hadi hao nyani wakatokea na sisi binadamu ndo tukatokea
 
Siwaoni wakibadilika kuwa watu, kama wanavodaiwa kufanya nyani waliotangulia kuishi...au ndo wamesahau utaratibu..... .....Kuna mtu katulisha makande hapa...shikamoo Mr Darwin...
Wapi walisema nyani walibadilika kuwa binadamu?? Unaweza ukaleta reference hapa???
 
Katika evolution tukisema binadamu ametokana na nyani hatumaanishi nyani alishushwa...

Hii tunakuja kwenye maada nyingine ya origin of life hii nayo ina theory nyingi lakini inayo aminiwa sana ni hii ya kuwa life ilianza baada ya elements of life kam hydrogen, carbon na nitrogen zilipoungana under specific environment ndo life ikatokea..
Baada ya hapo simple form ya life kama bacteria ndo yakwanza kutokea ikaevolve hadi hao nyani wakatokea na sisi binadamu ndo tukatokea
Na hydrogen zmetoka wapi..... Na hayo macarbon mkuu
 
Evolution ishakuwa established kuwa ni fact. Kuendelea kubisha ni kuwa mwenda wazimu tu
 
Back
Top Bottom