Hawa sokwe/nyani wa siku vipi? Mbona hawabadiliki kuwa watu?

Siwaoni wakibadilika kuwa watu, kama wanavodaiwa kufanya nyani waliotangulia kuishi...au ndo wamesahau utaratibu..... .....Kuna mtu katulisha makande hapa...shikamoo Mr Darwin...
Una elimu gani wewe?.....and hata kama ni form four nadhani ungekuwa na uwezo wa kuelewa kitu kama hiki......kila siku watu wanaeleshwa lakini hawataki elewa.....seriously.... ebu rudi kasome tena then uniletee ushahidi hapa ni Wapi Dr. Charles Darwin alisema binadamu alitokana na nyani au sokwe.....open ya mind na usilete udini.....utaelewa....
 
Una elimu gani wewe?.....and hata kama ni form four nadhani ungekuwa na uwezo wa kuelewa kitu kama hiki......kila siku watu wanaeleshwa lakini hawataki elewa.....seriously.... ebu rudi kasome tena then uniletee ushahidi hapa ni Wapi Dr. Charles Darwin alisema binadamu alitokana na nyani au sokwe.....open ya mind na usilete udini.....utaelewa....
Darwin ni mfano tu wa wenye mawazo kama ya kwake...
 
2110E851-19AD-4FD7-B8C1-6C1A0DF84F90.jpeg
Duuuu.....hata hueleweki....
 
Siwaoni wakibadilika kuwa watu, kama wanavodaiwa kufanya nyani waliotangulia kuishi...au ndo wamesahau utaratibu..... .....Kuna mtu katulisha makande hapa...shikamoo Mr Darwin...
Duh shule ni ngumu sana...
Evolution(kama vitabu vinavyosema) inachukua muda sana..wewe huwezi kushuhudia evolution kwa generation moja.. evolution inachukua miaka hata mil 1..sasa wewe utakuwepo hio miaka mil 1 uone kama sokwe anambadilika..
 
Siwaoni wakibadilika kuwa watu, kama wanavodaiwa kufanya nyani waliotangulia kuishi...au ndo wamesahau utaratibu..... .....Kuna mtu katulisha makande hapa...shikamoo Mr Darwin...
 

Attachments

  • 1DCF700C-DCA9-4709-8973-C6BC32E61F89.png
    1DCF700C-DCA9-4709-8973-C6BC32E61F89.png
    8.8 KB · Views: 36
Duh shule ni ngumu sana...
Evolution(kama vitabu vinavyosema) inachukua muda sana..wewe huwezi kushuhudia evolution kwa generation moja.. evolution inachukua miaka hata mil 1..sasa wewe utakuwepo hio miaka mil 1 uone kama sokwe anambadilika..
Binadamu akibadilika atakuwa nani?
 
Binadamu akibadilika atakuwa nani?
Mkuu mimi sijaspecialize kwenye mambo ya evolution kwahio siwezi kupredict baada ya miaka milioni 1 au 10 binadamu tutafananaje..

Labda inawezekana tukabaki hivi hivi tulivyo kama tuta adapt mazingira yaliyopo..
Maana sababu kubwa ya evolution ni kuendana na mazingira
 
Binadamu akibadilika atakuwa nani?
apparently....ni body can predict the future...(at least for the current technology).... But evolution is real..huwezi kuniuliza binadamu atakuwa nani wakati bado hajawa......let's wait 2 or 5 mil years...then kama utakuwepo utatuambia binadamu kawa nani....
 
apparently....ni body can predict the future...(at least for the current technology).... But evolution is real..huwezi kuniuliza binadamu atakuwa nani wakati bado hajawa......let's wait 2 or 5 mil years...then kama utakuwepo utatuambia binadamu kawa nani....
Kwahiyo wanasayansi wanauwezo wa kutambua nini kilitokea miaka 5m nyuma na hawana uwezo wa kutambua nini kitatokea miaka 5m mbele eti?
 
Duh shule ni ngumu sana...
Evolution(kama vitabu vinavyosema) inachukua muda sana..wewe huwezi kushuhudia evolution kwa generation moja.. evolution inachukua miaka hata mil 1..sasa wewe utakuwepo hio miaka mil 1 uone kama sokwe anambadilika..
Nadhani issue hapa ni apart from that process bado kungekuwa na transition generation ambayo inaexist.. i mean kungekuwa na creatures who are not Apes nor Human beings
 
Back
Top Bottom