Hawa panya wa kisasa mbona balaa

Hawa panya wa kisasa mbona balaa

hakuna panya wastaarabu kama hawa.kwanza awaishi ndani.alafu hawanaga tamaa na misosi ya ndani wao mara nyingi upendelea wadudu.na huwaga awaogopagi watu.wana sauti kali sana.ebhna upande wa pili hii mipanya ya kiswaz ni hatar mixer mbilinge mbilinge akiingia ndan😂😂😂.
 
Tumia mtego wa mchina ule wa gundi
Kuna mmoja alikua ananisumbua muda mrefu nikaweka huu mtego wa mchina akanata nikamtupa pamoja na mtego sababu mtego ulichanika wakati namtoa.
Alikua mmoja tu lakini baada ya kumnasa nimekaa kwa amani siku 2 naona vipanya vidogo vingi vinavyoharibu kila wanachokutana nacho... Wanakula tambi dukani hadi nazi zinatobolewa sijui nifanyeje
Yani nimeona nafuu yule mmoja angebaki sababu alikua sio mharibifu tofauti na kuiba soksi na leso kwaajili ya kwenda kulalia tu
 
Back
Top Bottom