njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 4,852
- 11,724
Umuofia kwenu, kwa takribani miezi minne sasa nilishuhudia mbegu mpya kabisa ya panya nyumbani kwangu.
Panya hao wana muonekano tofauti na hawa wetu na cha ajabu kabisa wanawawinda panya wale wa asili na kuwaua kabisa.
Mdomo wao ni mrefu kama nguruwe hivi, na ajabu yao pia hawa panya hata paka hawali, ukiwategea sumu hawali, Wana mwili ambao una mijongeo ya ajabu ,nasemea hili kwa sababu panya hawa hata pawe na tundu dogo kiasi gani atajiminya
Na kupita kabisa, mbaya kuliko wanazaliana kama utitiri yani
Nimetumia Indocid yani naona kama ilikua cow bell kwao, nikatumia masumu ya mitaani mpaka madukani bila bila.
Nikajitahidi kuzidisha usafi na kutokuacha uchafu kwa namna yoyote hapo wakaanza kula gypsum sasa.
Wakuu kama kuna mtu anafahamu ile gundi maalum ipo kwenye tube kama ya baiskeli naomba aniambie
Ntaipata wapi mana najua ile kidogo ni suluhisho nje ya hapo sijui na panya hawa sijafanikiwa kupata picha ila usiombee🥹🥹🥹
Panya hao wana muonekano tofauti na hawa wetu na cha ajabu kabisa wanawawinda panya wale wa asili na kuwaua kabisa.
Mdomo wao ni mrefu kama nguruwe hivi, na ajabu yao pia hawa panya hata paka hawali, ukiwategea sumu hawali, Wana mwili ambao una mijongeo ya ajabu ,nasemea hili kwa sababu panya hawa hata pawe na tundu dogo kiasi gani atajiminya
Na kupita kabisa, mbaya kuliko wanazaliana kama utitiri yani
Nimetumia Indocid yani naona kama ilikua cow bell kwao, nikatumia masumu ya mitaani mpaka madukani bila bila.
Nikajitahidi kuzidisha usafi na kutokuacha uchafu kwa namna yoyote hapo wakaanza kula gypsum sasa.
Wakuu kama kuna mtu anafahamu ile gundi maalum ipo kwenye tube kama ya baiskeli naomba aniambie
Ntaipata wapi mana najua ile kidogo ni suluhisho nje ya hapo sijui na panya hawa sijafanikiwa kupata picha ila usiombee🥹🥹🥹