ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,998
- 2,242
Jamaa anaishi bali au sio?hahahahaMaisha bana..hii picha nimeiona kule Quora leo jamaa akishare kuhusu nyoka aina ya cobra alivyozaa uani kwake ...na jamaa kaipaste hapa kama home kwake ..nafrahi maana ananipunguzia stress...!