Hawa nyoka sasa wamezidi mpaka ndani sasa.

Hawa nyoka sasa wamezidi mpaka ndani sasa.

Wengine walishauri wenye tatizo kama lako kuwa wammwagie mafuta ya taa kuzunguka nyumba na maua sijui na miti makwao.

Kuna mengine walishauri humu humu.. subiri watakuambia.

Ila una moyo jamani ninavyoogopa hivyo viumbe uwiiiii.. bado nakushangaa hivyo na kusimama kupiga picha.

Mola anirpushr nisikutane navyo hivyo aiseeee.

Sasa umemfanyaje.. umewahi kabla hajaingia kujificha vyumbani!?

Kwako una ukuta uliozunguka hiyo nyumba?
Ccm mna maswali yaajabuajabu vipi 7000 imepunguzwa!?
 
Nyalaka ya Serikali hiyo, ita wanyama pori wabebe cha kwao.
 
KIJANA huyo ni cobra baba yani huyo akikung'ata sahau kuhusu urithi kuandika kamaa ni hatari jitaidi sana kujiepusha nao jenga hata ukuta au fuga paka sana na kuku njee bila hivyo bila bila tutaonana motoni
 
Wengine walishauri wenye tatizo kama lako kuwa wammwagie mafuta ya taa kuzunguka nyumba na maua sijui na miti makwao.

Kuna mengine walishauri humu humu.. subiri watakuambia.

Ila una moyo jamani ninavyoogopa hivyo viumbe uwiiiii.. bado nakushangaa hivyo na kusimama kupiga picha.

Mola anirpushr nisikutane navyo hivyo aiseeee.

Sasa umemfanyaje.. umewahi kabla hajaingia kujificha vyumbani!?

Kwako una ukuta uliozunguka hiyo nyumba?
Alikua hawezi tembea vizuri,siku mbili tatu kuna vinyoka vidogo vidogo naona vimetotolewa mda sio mrefu
 
KIJANA huyo ni cobra baba yani huyo akikung'ata sahau kuhusu urithi kuandika kamaa ni hatari jitaidi sana kujiepusha nao jenga hata ukuta au fuga paka sana na kuku njee bila hivyo bila bila tutaonana motoni
Yes mkuu ni cobra huyo,siku mbili tatu hizi nimekua nikiwaona sana hawa wadogo nyumbani,nadhani wametotolewa sio mda mrefu
 
Kua makini kipindi cha jua kali wanatafuta maji majimbani, ukiona jua limeshamiri usipende kukaa kwenye vyanzo vya maji au miti mifupi yenye kivuli sana.
 
Kuna sumu special huwa inamwagwa kuzunguka nyumba,nyoka hawasogei hata kidogo.., fuatilia.
 
Tabia ya nyoka iko hivi anaweza akaa kaa ndani kwako hata mwezi mzima ila atatoka kama ana kiu au njaa au atatoka kuhungulia mazingira na kurudi anapo kaa so kuwa makini sana
 
Moja kati ya viumbe nnavyoviogopa duniani,hata iyo picha sijaiangalia vizuri aseee.Naogopa sana
 
Back
Top Bottom