Chagga ni kweli asili yao ni wizi? Ama mas-khara(jokes)? Maana ninae mchumba wa kichagga...Kijana mmoja wa kichaga alimueleza rafiki yake hali ya nyumbani ilivyo, kuwa siku 1 alitaka kumuibia baba yake wallet, vile alipofika kuichomoa akakuta ndani yake kuna wallet yake baba ameshamuwahi.
Mkuu,unaulizia mabata kota(quarter) za polisi?Chagga ni kweli asili yao ni wizi? Ama mas-khara(jokes)? Maana ninae mchumba wa kichagga...
kijana mmoja wa kichaga alimueleza rafiki yake hali ya nyumbani ilivyo, kuwa siku 1 alitaka kumuibia baba yake wallet, vile alipofika kuichomoa akakuta ndani yake kuna wallet yake baba ameshamuwahi.
dah! ina maana wachagga ndio wezi kuliko makabila mengine!