mwanakijiji lugusi
Senior Member
- Apr 13, 2016
- 128
- 96
Jaman Leo nimepigiwa simu na MTU akijitambulisha kuwa ni mfanyakazi Wa bodi eti Leo jumapili ndio wanagonga mihuri na kuzipitisha fomu za mkopo ila wamegundua kuna mapungufu sikuweka matokeo ya six na ni kweli nilipokuwa natuma fomu bodi result slip zilikuwa hazijatoka hivyo ameomba nizitume ila kabla sijazituma nimtumie hela ya maji ili kwa kuwa wanafanya kazi siku ya jumapili kutupitishia fomu.
JE HAWA NI MATAPELI AU NISAIDIEN JAMANI
Namba zilizonipigia ni 0745248574
JE HAWA NI MATAPELI AU NISAIDIEN JAMANI
Namba zilizonipigia ni 0745248574