...hawa ni akina nani kwenye hii picha?

BAGAH

JF-Expert Member
Jan 17, 2012
4,523
1,060
...naona tu kasura ka Kongosho kwa mbaali...hao wengine ni akina nani??
 

Attachments

  • IMG-20120312-WA0000.jpg
    IMG-20120312-WA0000.jpg
    56.5 KB · Views: 222
kumbe ushamba kaanza zamani eeh?...wewe mjanja toka enzi!

Bdo ana ushamba wa kuzaliwa na kukua nao.
Nlianza kuwa na ndoto za kumiliki gar toka utoton ndo maana sa hv hazpit mbali. Tayari Amyner anamiliki Prado mpya ya mwaka 2011
 
Dah! Hicho chombo nilitengeneza mwenyewe! Nakuona mkuu bagah umejificha pembeni na ndala zako za 'sky way' rangi ya njano!
 
Dah! Hicho chombo nilitengeneza mwenyewe! Nakuona mkuu bagah umejificha pembeni na ndala zako za 'sky way' rangi ya njano!

...tehe!..afu nimegeuza...kuli kushoto kushoto kulia...sina habari!
 
Sikuhzi maubunifu kama hayo huku town hakunaga tena...
Watoto wanasoma mavitu magumu, akili zinachoka mda wote, huo ubunifu wataupata wapi?

Mtoto yuko shule kuanzia 12 asubuhi mpaka 12jioni ndio anarudi home lol..
 
Watoto wanasoma mavitu magumu, akili zinachoka mda wote, huo ubunifu wataupata wapi?

Mtoto yuko shule kuanzia 12 asubuhi mpaka 12jioni ndio anarudi home lol..
.
Mbaya zaidi wanaanza boarding wakiwa na 5 years
 
Back
Top Bottom