kumbe ushamba kaanza zamani eeh?...wewe mjanja toka enzi!
hahaha namuona rejeo, enzi izo pua lake la wastan tu lolz!
Watoto wanasoma mavitu magumu, akili zinachoka mda wote, huo ubunifu wataupata wapi?Sikuhzi maubunifu kama hayo huku town hakunaga tena...
.Watoto wanasoma mavitu magumu, akili zinachoka mda wote, huo ubunifu wataupata wapi?
Mtoto yuko shule kuanzia 12 asubuhi mpaka 12jioni ndio anarudi home lol..
Bdo ana ushamba wa kuzaliwa na kukua nao.
Nlianza kuwa na ndoto za kumiliki gar toka utoton ndo maana sa hv hazpit mbali. Tayari Amyner anamiliki Prado mpya ya mwaka 2011
Dereva ndo mimi.
Erick ndo hyo ameweka dole gumba
Mtei..
Enzi zangu....siumeniona nilivyokuwa mjanja eee
Enzi hizo kuweka dole ilikuwa ujiko saana...kumbe ushamba kaanza zamani eeh?...wewe mjanja toka enzi!
sema Amyner wangu
Amy ningefurahi ungeanza kujiandaa mi naprocess ticket yako ya flight chap....Nawaza sijui nihamie Arusha. Dar imenishinda..lol. ntawamiss na fujo zenu za mbalamwezi.