Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Unavyoandika inaonekana si mkazi wa ubungo kwa taarifa yako ww ni kibaraka niona thread yako ya jinsi ya ccm kuimaliza cdm
Ngoja nikuambie kijana o jike mnyika anafanya kazi na atapiga kazi na anaiweza kazi jimbo la ubungo ndo lenye wakazi wengi sana
Mnyika juzi alikuwa kwenye ufutialiaji wa maji mm mkazi wa ubungo na najua anachofanya
Anafanya mikutano kusikiliza kero za wananchi na kuzitekeleza na baadaye kutoa ripot
Huyo Jamaa amekuwa posted hapa JF kwa kazi maalumu. Fuatilia comments zake kwenye threads,
utaelewa ametoka wapi?