Hawa ndo waekezaji wa kichina

Hawa ndo waekezaji wa kichina

Dunia Kate lazima ulinde fursa kwa wananchi wako hata China wanalinda maslai ya wananchi wao same kwa marekani na nchi nyingi

Ulishawahi jiuliza kwanini hakuna Bank ya Tanzania ya kibiashara inayofanya kazi kenya
Sio kulinda kwa namna hiyo, ulinzi unawekwa kwa policies sio hisia, na kama watu wako hawatumii fursa huwezi kuacha zioze wakati kuna wanaoziona na kuzifanyia kazi! Dunia inasonga mbele deile huwezi kuacha kwenda na dunia eti unasubiri watu wako waache kuvuja kamasi waamke na kuona fursa wakati wapo bize kula kimasihara na kudai huduma bure! Kila nchi iliyoendelea iliruhusu diversity kwanza wakaja wageni ndipo wenyeji wakaamka! Leo hii Marekani ingekua bado maskini kama Native Americans wangezuia wageni kuingia na kufanya biashara na maendeleo, ni ushandani tu hamna baby sitting!

Ukiona Mchina kafungua car wash we fungua kuzalisha sabuni ya maji umuuzie, ukiona wamejaa we fuga mbwa na pork wauzie nyama then mnasonga mbele wote sio kulialia hapa mama azuie wageni as long as wanalipa kodi na wewe unapata huduma bure ya barabara maisha yanaendelea
 
Sio kulinda kwa namna hiyo, ulinzi unawekwa kwa policies sio hisia, na kama watu wako hawatumii fursa huwezi kuacha zioze wakati kuna wanaoziona na kuzifanyia kazi! Dunia inasonga mbele deile huwezi kuacha kwenda na dunia eti unasubiri watu wako waache kuvuja kamasi waamke na kuona fursa wakati wapo bize kula kimasihara na kudai huduma bure! Kila nchi iliyoendelea iliruhusu diversity kwanza wakaja wageni ndipo wenyeji wakaamka! Leo hii Marekani ingekua bado maskini kama Native Americans wangezuia wageni kuingia na kufanya biashara na maendeleo, ni ushandani tu hamna baby sitting!

Ukiona Mchina kafungua car wash we fungua kuzalisha sabuni ya maji umuuzie, ukiona wamejaa we fuga mbwa na pork wauzie nyama then mnasonga mbele wote sio kulialia hapa mama azuie wageni as long as wanalipa kodi na wewe unapata huduma bure ya barabara maisha yanaendelea
Una akili ndogo sana sikushangai
 
Kwa sababu haziwezi ushindani
Kwa hiyo hao wachina wanaolinda fursa hawajui ushindani

Marekani walivyopiga marufuku kutumia vifaa vya Huawei nao hawajui ushindani

Na wanataka kuifungia tiktok nao hawajui ushindani
 
Una akili ndogo sana sikushangai
We yako kubwa umeifanyia nini zaidi ya kulialia tu uletewe I live my best life kijana! Sisubiri mana jangwani. Utaloa sana na wachina wapo hapa to stay yani, sio leo wala kesho na watafanya kila biashara na kazi bila shaka!
 
We yako kubwa umeifanyia nini zaidi ya kulialia tu uletewe I live my best life kijana! Sisubiri mana jangwani. Utaloa sana na wachina wapo hapa to stay yani, sio leo wala kesho na watafanya kila biashara na kazi bila shaka!
Sijafanya kitu ila siwezi shadadia wanaume aje kuvuna fedha Tanzania na kupeleka kwao huo ni utahira

UnaKili fupi sana kama unashadadia wanaume waje wachukue fursa na wewe upo hilo ni tatizo naion huruma familia yako

Nyerere angekua na akili kama zako angeuza kila kitu cha nchi hii
 
Wala usijali familia yangu haina shida na inajua Maisha ni ushindani na ipo gado kabisa ukiionea huruma ni matumizi mabaya ya huruma yako ihurumie yako, yangu inacompete na wazungu sio wachina tu na inawin kma kawa! Huo muda wa Nyerere ulishapita kitambo sana we baki na ndoto zako tupo na mama sio mwalimu
 
Wala usijali familia yangu haina shida na inajua Maisha ni ushindani na ipo gado kabisa ukiionea huruma ni matumizi mabaya ya huruma yako ihurumie yako, yangu inacompete na wazungu sio wachina tu na inawin kma kawa! Huo muda wa Nyerere ulishapita kitambo sana we baki na ndoto zako tupo na mama sio mwalimu
Afrika ndo baraha pekee raia wake wanashadia wageni wakivuna utajiri huku wakiachwa matika umaskini wa kutisha unadhani kwa kumuachia mchina ndo suluhisho la umaskini pole sana
 
Niko hapa namsoma komredi Mao Tse Tung katika kitabu chake kiitwacho "JUU YA VITA VIREFU-Mei 1938).

Hakika wachina wana "spirit" kubwa sana ya kupambana maishani ,ninatamani vizazi vyetu viige mazuri ya hao ndugu zetu !!
 
Sijafanya kitu ila siwezi shadadia wanaume aje kuvuna fedha Tanzania na kupeleka kwao huo ni utahira

UnaKili fupi sana kama unashadadia wanaume waje wachukue fursa na wewe upo hilo ni tatizo naion huruma familia yako

Nyerere angekua na akili kama zako angeuza kila kitu cha nchi hii
Mkuu najua ni kiasi gani ulivyo mzalendo na nchi yako....

Well....

Umeisikia kauli ya mh.Waziri Mkuu kututaka vijana "graduates" twende VETA ?!!

Lengo lake ndilo hilo kupambania fursa na kucompete broadly.....

#JMT Milele dumu!
 
Kwanini na wewe usiwekeze kama mchina?

Kishakufungua nacho kwa vitendo, na ndio lengo hilo.
Suala sio kuwekeza suala ni sera zetu za kuwapokea hawa raia wa kigeni. Mwekezaji wa kigeni anakuja kuuza duka la mangi si ujinga huo
 
Watanzania tunalialia sana kwa kila kitu tushazoezwa baby sitting na ujamaa na tumegoma kabisa kubadilika! Endelea kulia watachukua hata pisi zetu tupate watanzania wapya hybrid huenda watakua na akili ya kupambana badala ya kulialia. Hii generation iondoke sasa inakera sana! Maisha ushindani wandugu wachina wakiona fursa wanachukua tu period
Je tumetengenezewa mazingira ya kufanya biashara mkuu?
 
Back
Top Bottom