Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
- Wachina wanafungua car wash
- Wachina wanafungua supermarket
- Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
- Wachina wanafungua maduka ya rejareja
- Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
- Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
- Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
- Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
- Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa
wachina wanapewa mali/bidhaa kwa bei ambayo hata wewe ukinunua China ni ngumu kuuziwa hivyo huyo mtu unashindaye vip mkija Tanzania lazima mchina atauza kwa bei ndogo kuliko mfanyabiashara wa Tanzania
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.
(X zaman twitter tunatumia user name ya made in tz_ au made in Tanzania project)