Hawa ndo waekezaji wa kichina

Hawa ndo waekezaji wa kichina

China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.

Jiulize kwanini China aliwabana wazungu na makampuni yao wasifanye biashara China waziwazi
Apple devices zinatengenezwa na Wamarekani hapo China, na sababu ni kuwa wafanyakazi wachina ni cheap kuliko Marekani ila kwa China ni faida sababu raia wake wanapata ajira ambayo angewabania wamarekani kuwekeza bado yeye mchina asingeweza kuwapa ajira hao wachina.

Unaposema aliwabana wasifanye biashara waziwazi - sijui unamaanisha nini mkuu?
 
Wakulaumiwa ni viongozi na sio wananchi viongozi ndo wanaowapa vibali
Ni Rushwa kwenda mbele
Mimi nikitaka kibali wananiambia una $ laki mbili
Ila mchina anapewa kibali cha kuwekeza kiwanda huku akiwa kaingia na mkoba kwapani katoka jela
Anaanza maisha kwa kuuza maua
 
Apple devices zinatengenezwa na Wamarekani hapo China, na sababu ni kuwa wafanyakazi wachina ni cheap kuliko Marekani ila kwa China ni faida sababu raia wake wanapata ajira ambayo angewabania wamarekani kuwekeza bado yeye mchina asingeweza kuwapa ajira hao wachina.

Unaposema aliwabana wasifanye biashara waziwazi - sijui unamaanisha nini mkuu?
Kampuni nyingi za China kubwa zinamilikiwa na wachina biashara kubwa china zinamilikiwa na wachina na sio wageni
Mabilionea wote ni wakichina na sio wageni
Ulishawahi jiuliza ni kwanini wamefanya hivi

Hizo kampuni zinazofanya zinazopewa contract na kampuni za kimarekani zinamilikiwa na wachina

uchumi wa China unamilikiaa na wachina Sasa wewe unataka uchumi wa Tanzania washikilie wageni na unashabiki ila akili za mwafrika ni fupi sana
 
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
  • Wachina wanafungua car wash
  • Wachina wanafungua supermarket
  • Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
  • Wachina wanafungua maduka ya rejareja
  • Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
  • Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
  • Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
  • Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
  • Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.
Ndio maana Trump anawapiga vita
 
Hamna shida kama wenyeji hawataki kulima wacha waje tu

Mbona Dar wageni toka mikoani wapo kibao wanaolima mchicha na kufuga kuku sababu wenyeji wazaramo hawataki kulima mchicha wala kufuga kuku wakati watu wanahitaji mchicha na kuku

Sawa tu hamna shida
Hamna shida ila usitegemee mchina akakulimia mchicha wa kawaida.
Mkianza kuota maziwa wanaume huko na ndevu wanawake mtatueleza ni sawa tu.
 
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.
Neno biashara unali tasfiri vipi ? Kwa sababu wazungu wana biashara nyingi tu ndani ya China
 
Mkuu, watanzania wangapi wameweza kuwekeza China?
Baadaye mtaanza kuwa manamba kwenye nji yenu wenyewe?

Wanatakiwa wawekezaji katika uzalishaji na sio uchuuzi.

Halafu mbona Zanzibar hawaingii? Hakuna mazingira mazuri kwa wao kufanya uchuuzi kule?
Kwani sasa hivi wewe unatofauti gani na manamba
 
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.

Jiulize kwanini China aliwabana wazungu na makampuni yao wasifanye biashara China waziwazi
Hujui lolote umejaza ujinga
 
Kampuni nyingi za China kubwa zinamilikiwa na wachina biashara kubwa china zinamilikiwa na wachina na sio wageni
Mabilionea wote ni wakichina na sio wageni
Ulishawahi jiuliza ni kwanini wamefanya hivi

Hizo kampuni zinazofanya zinazopewa contract na kampuni za kimarekani zinamilikiwa na wachina

uchumi wa China unamilikiaa na wachina Sasa wewe unataka uchumi wa Tanzania washikilie wageni na unashabiki ila akili za mwafrika ni fupi sana
Sawa mkuu, endelea kulalamika
 
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
  • Wachina wanafungua car wash
  • Wachina wanafungua supermarket
  • Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
  • Wachina wanafungua maduka ya rejareja
  • Tender nyingi na kubwa wanapewa wachina
  • Wachina wanafanya uchimbaji wa madini mdogo
  • Wachina wameharibu bei vibaya mno ni ngumu kwa mfanyabiashara wa kitanzania kushindana nao
  • Machina mteja anayetaka pisi moja anamuuzia sawa na anayetaka pisi 500
  • Wachina swala la kodi hawalijui hawatoi risiti kabisa
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.
EFD?
 
Watanzania tunalialia sana kwa kila kitu tushazoezwa baby sitting na ujamaa na tumegoma kabisa kubadilika! Endelea kulia watachukua hata pisi zetu tupate watanzania wapya hybrid huenda watakua na akili ya kupambana badala ya kulialia. Hii generation iondoke sasa inakera sana! Maisha ushindani wandugu wachina wakiona fursa wanachukua tu period
 
Watanzania tunalialia sana kwa kila kitu tushazoezwa baby sitting na ujamaa na tumegoma kabisa kubadilika! Endelea kulia watachukua hata pisi zetu tupate watanzania wapya hybrid huenda watakua na akili ya kupambana badala ya kulialia. Hii generation iondoke sasa inakera sana! Maisha ushindani wandugu wachina wakiona fursa wanachukua tu period
Dunia Kate lazima ulinde fursa kwa wananchi wako hata China wanalinda maslai ya wananchi wao same kwa marekani na nchi nyingi

Ulishawahi jiuliza kwanini hakuna Bank ya Tanzania ya kibiashara inayofanya kazi kenya
 
Dunia Kate lazima ulinde fursa kwa wananchi wako hata China wanalinda maslai ya wananchi wao same kwa marekani na nchi nyingi

Ulishawahi jiuliza kwanini hakuna Bank ya Tanzania ya kibiashara inayofanya kazi kenya
Kwa sababu haziwezi ushindani
 
Back
Top Bottom