Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
But to me I PREDICT A TOUGH BATTLE, NA NAKWENDA NIKIJUA HILO AND AM DETERMINED TO USE USHAWISHI WOTE NILIOJALIWA HAPA DUNIANI KUTETEA NINACHOAMINI TO PROVE WRONG WATU WANAOTABIRI MTEREMKO KAMA THE SO CALLED MGENI WENU KWENYE ID YAKE
Mwigulu imekula kwako kaka,hata ulichokifanya juzi kanisani arumeru nchi nzima sasa inajua,ulichokifanya Igunga kiliondoa uaminifu wako kwa wake za wenzako najua umejiandaa kuvunja ndoa za watu,natabiri kifo chako kisiasa ni sasa,maana hata nyumba ndogo ya jamaa ulikutwa nayo chumbani Igunga ukanyamazisha watu kwa fedha, kama unakumbuka nilikuuliza swali hili Igunga ukasema tuliache kwanza jambo hilo maana yule ni mpenz wa boss wako,huyu ni mbali na yule uliyeandikwa sana na waandishi na ukitaka malumbano tunaweka yote hadharani!,na ukitia mguu tu na gari lako T203 BKW linalotembea na mabox ya kondom wallahi natoka Tanga kuja kukuanika hadharani maana wewe ni unaeneza magonjwa,kumbuka Igunga ulinitishia bastola yako this time jiandae kuua
Kumbe mnajuana wakuu; ukimwaga mboga namwaga ugali! Nitaenda Arumeru nikashuhudie kwa macho yangu.