Uchaguzi 2020 Hawa Mawaziri wana dhamira ya ukweli au uroho wa madaraka?

Ukiachana na uwanasiasa, ni kwamba Raisi ana nafasi za kuteua wateule 10 kuwa wabunge kama ataona wanafaa ili wamsaidie kwenye majukumu yake ya kuongoza nchi.

Kipindi kilichopita, alifanikiwa kutumia nafasi zake kuteua akina kabudi, mpango phillip, balozi Mahiga etc na kuwapa nafasi za uongozi katika baraza la mawaziri.
Hawa wateule wameaminika na kufanikiwa kuhudumu kwa kipindi karibu chote alichokuwepo madarakani.

Ila sasa tunatarajia kuuanza muhula wa pili. Wateule ambao ni vipenzi raisi katika utendaji wanaona ni vyema wasimame wenyewe ili wamuachie uhuru wakutosha Raisi wa kuteua nafasi 10 tena za kupata wasaidizi.
Japo uwezekano wa wao kuteuliwa tena hata kama watakosa ubunge wa kuchaguliwa.
 
Uwaziri siyo ajira ya kudumu, muda wao unaisha so wana haki ya kutafuta kazi ili mradi wa vigezo, acha wivu, somA na wewe ufanye kama wao.
Ubunge ni ajira ya kudumu toka lini ?
Kama ni ajira ya kudumu ..KABUDI alikuwa/bado m mhadhiri chuo kuu udsm

Dkt mpango alikuwa mhadhir udsm
Ndalichako alikuwa mwajiriwa wa serikali mambo hayakwenda vzr akastaafu kwa hiari zote hizo zilikuwa ajira za kudumu.
Dout yangu ni kwamba mbona umri umeenda ndo wanakuja kuja kwenye siasa tena ubunge...(kisayans kuja na umri huo kwenye siasa ni sawa na kuoa ukiwa
Ukiachana na uwanasiasa, ni kwamba Raisi ana nafasi za kuteua wateule 10 kuwa wabunge kama ataona wanafaa ili wamsaidie kwenye majukumu yake ya kuongoza nchi.

Kipindi kilichopita, alifanikiwa kutumia nafasi zake kuteua akina kabudi, mpango phillip, balozi Mahiga etc na kuwapa nafasi za uongozi katika baraza la mawaziri.
Hawa wateule wameaminika na kufanikiwa kuhudumu kwa kipindi karibu chote alichokuwepo madarakani.

Ila sasa tunatarajia kuuanza muhula wa pili. Wateule ambao ni vipenzi raisi katika utendaji wanaona ni vyema wasimame wenyewe ili wamuachie uhuru wakutosha Raisi wa kuteua nafasi 10 tena za kupata wasaidizi.
Japo uwezekano wa wao kuteuliwa tena hata kama watakosa ubunge wa kuchaguliwa.
Yani umeendika mle mle ila nilitaka kuona je Rais bado anawakubali katika utendaji wao kama anawakubali katk utendaji wao kwa nini wasisubirie ile Neema na Bahati ya 2015 waingie katk mgongo ule ule...kwa vile hawakuwaza kuwa wanasiasa hata siku moja ...
 
Ndio uwezo wake sitilii shaka ila kuja katk siasa kwa umri Ile ndo na question n dhamira ya kweli mbona huko nyuma sikuwahi kusikia akitaka jimbo..
???????????? ?? ???????? .
Haya ndiyo makosa ya watu wengine. Kuna umri lazima uachane na kujiadhiri kwa vijana. Siamini mtu zaidi ya miaka 60 agombee ubunge na vijana wa miaka 25. Watamuadhiri tu na kumuathiri kisaikolojia. Mtu kama Prof Kabudi au Dr Mipango ni kujianika bure maana ukiwania ubunge hapo umejianika kweupe bora kukaa nyumbani na wajukuu.
 
Una ile video ya mama Ndalichako akipiga ngeli pale kwny ujenzi kwa wachina utuwekee hapa?
Huyo jamaa anadhani sisi hatujasoma...mimi nmeuliza kama wana dhamira ya kweli au uroho wa madaraka...binadamu wote tulio hai kila mtu ana kipaji na kupawa chake ...Ndarichako alistaafu utumishi kwa hiari 2013 hv nadhani mbona km alikuwa anapenda siasa hakugombea ubunge 2015 hata viti maalum ...ndo maana nauliza hao kweli wana dhamira ya kweli ?
 
Nani asiyependa mafanikio jamani. Kwani siasa ina time limit ya kuanza ?Acheni mawazo mfu. Even the sky is no longer a limit.
Mhhh mafanikio au maendeleo?
Kama akigombea ubunge akaupata ndo mafanikio....asipoupata hajafanikiwa.

Logic but not sound....kwa umri wao sayansi inakataa ila art inawabeba...yani mtu ana miaka zaidi ya 70 hajawahai kuwania kiti chochote cha siasa from know where to now where aje agombee...kweli ?
Kuna msukumo ndani yao ..
 
Mhhh mafanikio au maendeleo?
Kama akigombea ubunge akaupata ndo mafanikio....asipoupata hajafanikiwa.

Logic but not sound....kwa umri wao sayansi inakataa ila art inawabeba...yani mtu ana miaka zaidi ya 70 hajawahai kuwania kiti chochote cha siasa from know where to now where aje agombee...kweli ?
Kuna msukumo ndani yao ..
Mawazo mfu hayo Kaka.Age is just a number. Kifo au ugonjwa ndo pekee vinaweza mzuia mtu asifanye jambo alilokusudia.
 
Mawazo mfu hayo Kaka.Age is just a number. Kifo au ugonjwa ndo pekee vinaweza mzuia mtu asifanye jambo alilokusudia.

Mawazo mfu hayo Kaka.Age is just a number. Kifo au ugonjwa ndo pekee vinaweza mzuia mtu asifanye jambo alilokusudia.
I suppose when I stop thinking...uzee ni mwili sio roho ...na wazee wapumzike vijana wafanye kazi....
 
Back
Top Bottom