ndiyomkuusana
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 666
- 421
"wenyewe wanajisifu"wanaingiza na kutoa hapo hapo
hatari ndiyo maana hawana afya"wenyewe wanajisifu"
Ukiwauliza wanjitetea, kama kulima wanalima Wenyewe!hatari ndiyo maana hawana afya
ha hahahaha ndiyo wale kama hawata sikia njaa tenaUkiwauliza wanjitetea, kama kulima wanalima Wenyewe!
Kicheko. Utawaudhi.ha hahahaha ndiyo wale kama hawata sikia njaa tena
waudhike tu sina namnaKicheko. Utawaudhi.
Fafanua.wanaingiza na kutoa hapo hapo
input and output vinafanya kazi pamojaFafanua.
Kwetu kawaida sana hayo makitu.Kuna aliyenisimulia, rafiki yake wa karibu alimuomba awe mshenga, binti ametoka Usukumani huko, basi walijiandaa kutoka Dar wanapeleka barua, wamefika wageni wamepokelewa, jogoo wawili walichinjwa, nyama imekuja bakuli mbili ugali design hiyo hapo juu, na mlenda. Wamejipiga waliposhiba ilibidi waseme, wenyeji walicheka sana waliulizwa, "sasa nyinyi mnataka mke mtamuweza kweli kama kula tu hamuwezi?"
Haha haha.input and output vinafanya kazi pamoja
Miss you soooo toooo veeeeeery much beeeeeib..wanaingiza na kutoa hapo hapo