Hawa jamaa wanakula, watamaliza huu msosi?

Hawa jamaa wanakula, watamaliza huu msosi?

Kamsosi gani hako watu watatu!!! Aaaaaaaargh
 
Kuna aliyenisimulia, rafiki yake wa karibu alimuomba awe mshenga, binti ametoka Usukumani huko, basi walijiandaa kutoka Dar wanapeleka barua, wamefika wageni wamepokelewa, jogoo wawili walichinjwa, nyama imekuja bakuli mbili ugali design hiyo hapo juu, na mlenda. Wamejipiga waliposhiba ilibidi waseme, wenyeji walicheka sana waliulizwa, "sasa nyinyi mnataka mke mtamuweza kweli kama kula tu hamuwezi?"
Natamani kujua iliishaje (nimecheka sana )
 
Huyo wa katikati namfananisha na mchezaji mmoja wa Yanga anaitwa Ally mayay Tembele
 
Huyo kuku[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] naona na dona hapoo
 
Back
Top Bottom