Natamani ningekuwa kwenye company yao,ni mwendo wa kula tu [emoji39]Hawa jamaa wapo kigamboni huko mji mwema,wanakula balaa yaani wakianza kunywa ze lager,usiombe kukutwa
Hapo kila mtu ana wake wawili ama watatu. Hapo ishu ya nguvu lazima ihusikeSawa Kula hivyo ndiyo afya na kuwa na nguvu?...