HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,509
- Thread starter
- #41
hapana mkuu tunajadiliana tu, i intend no harm au confusion kwa mtu yoyote yuleHayo ni mawazo yako mgando.
hapana mkuu tunajadiliana tu, i intend no harm au confusion kwa mtu yoyote yuleHayo ni mawazo yako mgando.
Limeshasambaa, imagine hao diplomats walivyosambaa: kila walipo nalo lipo , hivyo huenda hata hapo kwenu masaki limeshatua na likifanya yake tunasingizia changamoto za upumuajiHili likisambaa,
Nitaamini zaidi kweli mwisho wa dunia umekarbia.
cha ajabu ni wa marekani tuLimeshasambaa, imagine hao diplomats walivyosambaa: kila walipo nalo lipo , hivyo huenda hata hapo kwenu masaki limeshatua na likifanya yake tunasingizia changamoto za upumuaji
sheikh dunia inaelekea ukingoniWafe tuu