Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,842
- 3,616
Njiro kwa Msola?Mtaani hapa kuna nyumba ilishashindikana kukalika, sasahivi naona majini ndio yanajitawala maana ikifika jioni yanawasha taa asubuhi yanazima.
Njiro kwa Msola?Mtaani hapa kuna nyumba ilishashindikana kukalika, sasahivi naona majini ndio yanajitawala maana ikifika jioni yanawasha taa asubuhi yanazima.
Most likely....Wabongo bhana
Usikute mwenye nyumba kafunga zake photocell, Nyumba Haina mtu
Kasafiri kaenda zake uko taa zinajiwasha usiku, asbh zinajizima.
Majirani mnazusha kua Kuna majini mle yanazima na kuwasha taa yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia tambara bovuDunia uwanja wa fujo.
Haya nayapatajeHaha blaza katisha......majini yanawasha taa na kuzima!!??
Same applied kwangu, aliyeniuzia eneo alitaka nigeuzia kibao, baadae maneno yakatoka kwamba anasema haiwezekani watu wa kuja waje wafanye maendeleo kwenye mji wao, kwangu amelegeza sasa kilio kwa majirani na kila mmoja ananyoosha kidole kwakeMbaya Nipo nae jirani kabisa, na ndo huyu huyu aliniuzia eneo
Funguka mkuu, binadamu wakoje??HUWEZI KUJUA KUWA DUNIA INA MAMBO MPAKA LIKUKUTE JAMBO........
Walimwengu ni zaidi ya unavyowaona au unavyowatazama.......
NB;
DUNIA MSONGAMANO.......
Hukuiombea hiyo nyumba yako Wakati unahamia?Yalinikuta haya wakati nahamia kwangu, kila siku ya Mungu naota misiba huko nyumbani. Maisha yakawa magumu kupitiliza, pesa haikai mwisho wa siku wakaninyoa nywele pande mbili za kichwa. Nikaenda kunyoa zote. Zimeota tena kidogo wakaninyoa tena, ilibidi niende kwa wazazi kupumzisha akili yangu pamoja na kupata ushauri wa nini nifanye,.
Dah. Kiukweli sikufanya hivo. Nilikuwa natumia maji ya baraka tu lakini haikusaidia,
Haaaaa Haaaaa 😂 sasa si mngekuwa mnachukua hizo pesa aiseeDaah kweli dunia ina mambo asee kama hujawah ona haimaanishi ndo hamna sie uku kwetu ilishawah tokea ishu moja miaka ya 2012 nyumba ilikuwa inatema ela za noti tuu mda wote na apo mwanzo haikuwa ilikaliwa na mtu kwa muda yaan kama watu walikimbia vile
Wanipe mimi ila bei ni twenty kwa mwezi waone kama sijakaa
Hapakaliki mzeeWanipe mimi ila bei ni twenty kwa mwezi waone kama sijakaa
Haaaaa Haaaaa 😂 Yan jamani Yan ndo hivo hivo kama wangu huyu, mbaya zaidi Nipo nae jirani kabisa Yan nyumba zinakaribiana. Nacheka nae kwa akili kwa sababu nshagundua ubaya yakeSame applied kwangu, aliyeniuzia eneo alitaka nigeuzia kibao, baadae maneno yakatoka kwamba anasema haiwezekani watu wa kuja waje wafanye maendeleo kwenye mji wao, kwangu amelegeza sasa kilio kwa majirani na kila mmoja ananyoosha kidole kwake
'.....akomae kweli kweli'Maneno yako yamenigusa sana.
Kuna mikakati mingi huwa inafanywa usiku na mchana kwa watu lakini wenyewe hawajitambui
Kwenye hii dunia kama mtu kaamua kuwa upande wa nuru...akomae kweli kweli
Kama giza..basi na iwe hivyo
Mpwa....
Hayo mambo yaskie tu,Kwa kuwa kuna binadamu na majini kwa baadhi tunavyoamini
Kweli majini wapo kila sehemu na tunaishi nao
Pia wengine wanaamini kuna mizimu na kama wazungu wanaamini kuna Nafsi zilizouliwa kwenye baadhi ya nyumba
Mimi binafsi kuna hotel nililala lakini cha ajabu nilikuwa naona kila wakati kama kuna kitu kinakatisha pembeni yangu ( kimvuli)
Sikushtuka sana kwani napenda sana kukutana na mambo kama hayo na nafsi hizo
Nilijaribu kuongea nae bila kupata jibu, nikalala zangu
Ila haya mambo yapo sana na nikipata fursa ya kupata haunted house ntaenda nikaone