Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

MTAWATENGA NYINYI NA ALLAH WENU ILA SISI NA YEHOVA.....HATUWEZI KUWATENGA
Wew kweli unaongozwa na mahaba, mpaka umeingiza udini wakati mie sio muislamu 😁 dishi lako lishayumba kitambo sana. hivyo siku ukibadilisha housing ya dishi lako ndio utaanza kujua yaliyo nyuma ya pazia kuhusu wayahudi feki wa kizungu, pamoja na siasa za mashariki ya kati.
 
PAMBANENI NA HALI ZENU...SIO KILA MKIPEWA KICHAPO MNAKUJA KUTULILIA WAKRSTO NA STORY ZENU ZA KUTUNGA....ILI TUUNGE MKONO HUSDA ZENU
SISI SIO WANAFIKI WA HISTORIA KWA WAYAHUDI......NA WALA HATUUNGI MKONO MNAFIKI YOYOTE WA HISTORIA
Wew sio mkristo Bali ni mdini ndio maana, ni vigumu kuwa mwelewa sababu unaongozwa na hisia bila kutumia akili, hivyo jifunze kusoma upate maarifa ambayo yatakusaidia kutofautisha ukweli na uongo.
 
Wew sio mkristo Bali ni mdini ndio maana, ni vigumu kuwa mwelewa sababu unaongozwa na hisia bila kutumia akili, hivyo jifunze kusoma upate maarifa ambayo yatakusaidia kutofautisha ukweli na uongo.
MKUU TANGU LINI MUISLAMU AKAWA NA UPENDO KWA WAKRSTO ZAIDI YA UNAFIKI...NYINYI SI ALLAH AMEWAAGIZA MUWAUWE WAKRISTO NA WAYAHUDI QUR'AN 9:30
HAYA SASA PAMBANENI NA HALI ZENU MSTULILIE.....
NB: NISOME NINI HADITHI ZA KINAFIKI ZA UWONGO NA HUSDA DHIDI YA WAYAHUDI
 
Wew kweli unaongozwa na mahaba, mpaka umeingiza udini wakati mie sio muislamu 😁 dishi lako lishayumba kitambo sana. hivyo siku ukibadilisha housing ya dishi lako ndio utaanza kujua yaliyo nyuma ya pazia kuhusu wayahudi feki wa kizungu, pamoja na siasa za mashariki ya kati.
ACHA UNAFIKI.....TATIZO LA WAARABU NA WAISLAMU NI UNAFIKI LINAPOKUJA SUALA LA HISTORIA YA WAYAHUDI...ILA WAKRISTO TUNAJUA HILO NDIO MSSNA TUNAWAPUUZA.
 
Mbona fact inakataa ulichokiandika broo

Hakuna Muisrael mkristo hiyo 1.9 % hapo ni wageni wa kigalitia kama wewe ukienda huko ndio unatengeneza hiyo 1.9%

The religious affiliation of the Israeli population as of 2022 was 73.6% Jewish, 18.1% Muslim, 1.9% Christian, and 1.6% Druze. The remaining 4.8% included faiths such as Samaritanism and Baháʼí, as well as "religiously unclassified".[4]

Ili uwe na Imani ya kweli ya Kiyahudi basi lazima umkane YESU kuwa sio masiha

Jews believe Jesus did not fulfill messianic prophecies that establish the criteria for the coming of the messiah. Judaism does not accept Jesus as a divine being, an intermediary between humans and God, a messiah, or holy.

Yani nyinyi wagalatia Wazungu wamekudanganyeni Hadi mmekuwa matahira
HAYO MAONI YAKO ILA UJUMBE UMEFIKA KUA SISI WATOTO WA YEHOVA MUNGU WA ISRAEL....HATUTAKI HUO UNAFIKI WENU WA KUTULILIA TUUNGE MKONO UPUUZI...WENU DHIDI YA WAYAHUDI
PAMBANENI NA HALI ZENU.......
 
HAYO MAONI YAKO ILA UJUMBE UMEFIKA KUA SISI WATOTO WA YEHOVA MUNGU WA ISRAEL....HATUTAKI HUO UNAFIKI WENU WA KUTULILIA TUUNGE MKONO UPUUZI...WENU DHIDI YA WAYAHUDI
PAMBANENI NA HALI ZENU.......
MUNGU akuumba wayahudi feki wa kizungu wenye mpanga wa kuichafua Israeli na kuwa makao makuu ya mashoga duniani.
 
MKUU TANGU LINI MUISLAMU AKAWA NA UPENDO KWA WAKRSTO ZAIDI YA UNAFIKI...NYINYI SI ALLAH AMEWAAGIZA MUWAUWE WAKRISTO NA WAYAHUDI QUR'AN 9:30
HAYA SASA PAMBANENI NA HALI ZENU MSTULILIE.....
NB: NISOME NINI HADITHI ZA KINAFIKI ZA UWONGO NA HUSDA DHIDI YA WAYAHUDI
Kumbe najadiliana na mkumbatia dini, mie sio muislamu Kama hiyo deep photos ndio imekufanya unijudge hivyo basi inaonyesha jinsi gany ulivyolibaguzi, familia ya Rothschild ndio waliowaweka hapo hao wayahudi feki wa Ashkenazi.

Tafiti nyingi zishafanywa na kuonesha wabantu wa Afrika ndio wayahudi pure wa Mwenyezi MUNGU.
 
MTAWATENGA NYINYI NA ALLAH WENU ILA SISI NA YEHOVA.....HATUWEZI KUWATENGA
Wapo wakristo wengi sana duniani wanawachukia hao madhalimu hata hitler hakuwa muislamu, na southafrica ni almost chriatian country ila wamewapeleka icj, maandamano ulaya kila siku zote zile chriatian countries sema nyie wakristo wa mbagala ndio akili mgando wa taifa teule
 
Wapo wakristo wengi sana duniani wanawachukia hao madhalimu hata hitler hakuwa muislamu, na southafrica ni almost chriatian country ila wamewapeleka icj, maandamano ulaya kila siku zote zile chriatian countries sema nyie wakristo wa mbagala ndio akili mgando wa taifa teule
ACHA UNAFIKI...MKRSTO GANI SOUTH AFRICA ANAWACHUKIA WAYAHUDI MTAJE JINA???
NB: AU HUJUI UKRSTO NI NINI UNADHANI MAJINA....
SASA HITLER WAPI ALISEMA YEYE MKRSTO????? ...
🤣🤣🤣🤣 NA MAANDAMANO NCHI ZA ULAYA WANAFANYA WATU WA JAMII GANI KAMA SIO 97% DIASPORA WA KIARABU NA WAISLAMU.....ACHA UNAFIKI????
PAMBANENI NA UJINGA WENU PEKE YENU.
 
Kumbe najadiliana na mkumbatia dini, mie sio muislamu Kama hiyo deep photos ndio imekufanya unijudge hivyo basi inaonyesha jinsi gany ulivyolibaguzi, familia ya Rothschild ndio waliowaweka hapo hao wayahudi feki wa Ashkenazi.

Tafiti nyingi zishafanywa na kuonesha wabantu wa Afrika ndio wayahudi pure wa Mwenyezi MUNGU.
HIZO STORY KAPEANENI KWENYE MIHADHARA YA IJUMAA..
WAKRSTO SISI NI WATU WASIO WANAFIKI WA HISTORIA NA NDIO MAANA TUNASEMA MUACHE TABIA YA KINAFIKI NA HUSDA NA WIVU DHIDI YA WAYAHUDI.....
MSITUSHIRIKISHE...PAMBANENI NA HALI ZENU
 
MUNGU akuumba wayahudi feki wa kizungu wenye mpanga wa kuichafua Israeli na kuwa makao makuu ya mashoga duniani.
HAYO MANENO HATA KWENYE KHANGA YAPO......NA MATUSI MNAONGEA BAADA YA KUSHINDWA UWANJA WA VITA SINCE 1920,S....
NB: MUNGU YUPI SASA????
SISI WAKRSTO NA WAYAHUDI TUNA MUNGU WETU HATUMTAMBUI HUYO MUNGU WENU WA KIARABU.
 
Wayahudi waliishi ulaya kwa miaka mingi chini ya mateso ,kutengwa na madhila mengine lakini katika ardhi za Waislamu walikuwa huru mpaka vyeo Serikali walipata..
 
Ibrahim (baba wa Imani) ni mkurdi. Ana asili ya Iraq. Hana asili ya Uyahudi.Alizaa na mama wa kiyahudi (Sara) na mwingine mmisri (Hajra). Alitumwa na mungu kwenda Kaanani kwa ajili ya mpango maalum. Aliwazaa Ishmael na Isaka ambao vizazi vyao viliwatoa YESU na MUHAMMAD. Yesu myahudi na Mohammad mwarabu. YESU NA MOHAMMAD WANATAMBUANA. LAKINI WAFUASI WANAPINGANA.
hii umetoa wap tukasome wote huko
 
Kichwa maji hautambui kuwa Wakristo ndio waliokuwa wanaongoza kuwachukia Jews , kuwauwa na kuwatesa jiulize kwa nini England in Jews wachache ?

Unajua Jews kiliwapata nini huko Europe kabla ya First Crusade War ?
 
Back
Top Bottom