Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 5,414
- 15,452
Uzi huu ufutwe tafadhali JamiiForums
Ndio inakubali cha muhimu uwe na Mb hata 5 tu zinatosha maan ukinunua unapewa Mbs za network za nchi nyingneHivi ukilipia VPN hata mtandao ukifungwa kama ilivyotokea juzi utaendelea kupata internet?
Vpn inaitwaje? Unalipia sh ngapi?Ndio inakubali cha muhimu uwe na Mb hata 5 tu zinatosha maan ukinunua unapewa Mbs za network za nchi nyingne
Mange kimambi Lete matako tz na wewe wakulipue, usidanganye wananchi ili wakafeKesho tutakinukisha mpaka wakina polepole waachiliwe hakuna kufungua huduma zozote tutasimamisha nchi hatutarudi nyuma
Hatari snKesho tutakinukisha mpaka wakina polepole waachiliwe hakuna kufungua huduma zozote tutasimamisha nchi hatutarudi nyuma
Mbona hujafa Sasa sisi tunataka ufesisi tupo tayari kufa kwaajiri ya watanzania hatuta utunuku ushenzi hatutakubali
Watu wamekufa wengine wametekwa hadi hivi leo hatuwezi kurudi kwenye huduma nikuingia barabarani