Hatutaki elimu ya bure ya Lowassa...

Hatutaki elimu ya bure ya Lowassa...

Washaaza kuchanganyikiwa kabla ya tar 25! anyway tunashukuru kwa kukubali kwamba Lowassa ndo raisi ajaye,kuhusu elimu ww endelea tu na elimu yako ya kupigia domo ccm inakutosha!
 
wewe kweli mandazi kila mtu akikopeshwa ela si mfumuko wa bei huo tayari unataka tuwe Zimbabwe

mfumuko wa bei utatoka wapi wakati pesa italipwa shuleni moja kwa moja, mbona chuo kikuu wanakopeshwa na hakuna huo mfumuko wa bei?

Watoto wenu wasome feza boys, kaizirege, tusiime, babro johnson, sisi ndo mtupeleke shule za kata tukapate ziro, tupeane pesa kila mtu atafute shule yake.

Hizi porojo za hovyohovyo hatutaki.
 
Mkuu, Amini Usiamin, Unalolisema Hulifaham Vizuri.
Ungefuatilia Vizur Ndo Ukaleta Hoja.
Cjaelewa Nn Kusudio Lako La Kupinga Elimu Bure?
Au Umeona Kuna Tatizo Katika Elimu Hiyo Ya Bure?
 
acha ujinga muulize rais wako kama hajasoma bule enzi za nyerere
 
Ila elimu bure ya sisiem ndiyo itakuwa haina kupiga pesa? wewe boom litakupatia kichaa

ndiyo boom tunalitaka, leo tunalipa ada bado walimu wanadai mafao yao hawajalipwa, madawati hakuna, sasa hiyo ya bure ndo itakuwa hovyo kabisa, walimu wataanzia kwenye bodaboda kwanza ndo waje darasani angalau waongeze kipato kutokana na mishahara duni.
 
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.

Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.

Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.

Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.

Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.

Hamtaki? Wewe na nani?
 
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.

Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.

Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.

Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.

Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.

Fisadi ni fisadi tu hata ukimpa nini. Yeye anataka pesa ili achakachue. Alipwe halafu Mtoto asiende shule. Io ilikuwa ni hao chama chako maccm. Utawala unaokuja kila kitu new
 
Mkuu, Amini Usiamin, Unalolisema Hulifaham Vizuri.
Ungefuatilia Vizur Ndo Ukaleta Hoja.
Cjaelewa Nn Kusudio Lako La Kupinga Elimu Bure?
Au Umeona Kuna Tatizo Katika Elimu Hiyo Ya Bure?

kwa sasa serikali inatumia 1.7m kwa mwaka kusomesha mtoto mmoja, mtoto akikopeshwa hiyo pesa nikaongezea kidogo hata mwanangu atasoma tusiime na kupata div one, wewe hili hulioni?
 
Hivi mtu akikupa kitu bure na hichohicho akikikopesha bora nini?
 
Bad-Mugshot-Coke.jpg
 
Fisadi ni fisadi tu hata ukimpa nini. Yeye anataka pesa ili achakachue. Alipwe halafu Mtoto asiende shule. Io ilikuwa ni hao chama chako maccm. Utawala unaokuja kila kitu new

hivi ulishajiuliza serikali inatumia shs ngapi kusomesha mtoto mmoja? Kama sio wizi wa mchana kweupe, tupeni hela tutajua pa kusoma.
 
Hivi mtu akikupa kitu bure na hichohicho akikikopesha bora nini?

nikikopa nitatumia vizuri kwani najua kunakulipa na nikirejesha atakopeshwa na mwingine na mwingine zoezi litakuwa endelevu.
 
Hee!!!, virobaaa, bangi za bila kulaa au kuwashwa??? Lowasa kishawachanganya.
 
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.

Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.

Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.

Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.

Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.

Wewe ni mgumba ndio maana unasema hivyo, kwani Lowassa peke yake ndio kasema elimu bure:what: fikiria kwanza kabla ya kupost ushuzi wako, mapadloc wakati akisema elimu bure ulikuwa chooni nini:what:
 
acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.

Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.

Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.

Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.

Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.
huhitaji kupiga mayowe ww kazana faulu vizuri kwa vigezo vitakavyo ruhusu ww kusoma kozi utakayo utasoma.
Kama entry requirement huna utawasikia walio makinia walio makini wakitafuna allowance mashuleni tuu, na ww ukiandika music kwenye madaftari unatafuta kuwa na fedha kwa haraka bila maarifa
kuhusu shule za ufundi mkopo wa nn wakati elimu hiyo umeambiwa utakwenda na daftari lako shuleni au unataka upewe ukanunulie kiwanja kwenu au upaue ile nyumbani ya kijijini kwenu acha mchezo mchafu kijana hiyo haipo hata ulaya
 
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.

Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.

Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.

Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.

Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.

Na sisi hatutaki elimu ya bure ya form four tu, halafu alama za ufaulu kushushwa, elimu ya ujasiriamali bado watakuwa hawana, tunataka elimu bure mpaka Chuo kikuu. Form four atapambana vipi Dunia hii ya maarifa? Hana elimu ya ujasiriamali, takwimu, technology, no :tunataka elimu bure ya lowassa. Kwa sababu najua watainua alama za ufaulu, Ili ulipiwe lazima ukate shule, hapo tutainua upya vipaji na sio vichumia tumbo
 
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.

Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.

Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.

Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.

Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.

Elimu ya bure wakati yeye hata uwezo wa KUWEKA pg moja ya hotuba yake kichwani hawezi,hewa tupu,akili yake imeoza tu,
 
Na sisi hatutaki elimu ya bure ya form four tu, halafu alama za ufaulu kushushwa, elimu ya ujasiriamali bado watakuwa hawana, tunataka elimu bure mpaka Chuo kikuu. Form four atapambana vipi Dunia hii ya maarifa? Hana elimu ya ujasiriamali, takwimu, technology, no :tunataka elimu bure ya lowassa. Kwa sababu najua watainua alama za ufaulu, Ili ulipiwe lazima ukate shule, hapo tutainua upya vipaji na sio vichumia tumbo

Kwanza lowasa akili za kujua elimu anazo? Anaweza kuwambia nini wasomi? Wakati hata nusu pg ya hotuba yake kuiweka kichwani hawezi?
 
Back
Top Bottom