wewe kweli mandazi kila mtu akikopeshwa ela si mfumuko wa bei huo tayari unataka tuwe Zimbabwe
Ila elimu bure ya sisiem ndiyo itakuwa haina kupiga pesa? wewe boom litakupatia kichaa
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.
Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.
Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.
Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.
Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.
Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.
Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.
Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.
Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.
Mkuu, Amini Usiamin, Unalolisema Hulifaham Vizuri.
Ungefuatilia Vizur Ndo Ukaleta Hoja.
Cjaelewa Nn Kusudio Lako La Kupinga Elimu Bure?
Au Umeona Kuna Tatizo Katika Elimu Hiyo Ya Bure?
Fisadi ni fisadi tu hata ukimpa nini. Yeye anataka pesa ili achakachue. Alipwe halafu Mtoto asiende shule. Io ilikuwa ni hao chama chako maccm. Utawala unaokuja kila kitu new
Hivi mtu akikupa kitu bure na hichohicho akikikopesha bora nini?
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.
Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.
Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.
Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.
Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.
huhitaji kupiga mayowe ww kazana faulu vizuri kwa vigezo vitakavyo ruhusu ww kusoma kozi utakayo utasoma.acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.
Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.
Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.
Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.
Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.
Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.
Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.
Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.
Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.
Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.
Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.
Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.
Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.
Na sisi hatutaki elimu ya bure ya form four tu, halafu alama za ufaulu kushushwa, elimu ya ujasiriamali bado watakuwa hawana, tunataka elimu bure mpaka Chuo kikuu. Form four atapambana vipi Dunia hii ya maarifa? Hana elimu ya ujasiriamali, takwimu, technology, no :tunataka elimu bure ya lowassa. Kwa sababu najua watainua alama za ufaulu, Ili ulipiwe lazima ukate shule, hapo tutainua upya vipaji na sio vichumia tumbo