Yaani wewe lazima utakuwa chizi mento flani, maana hata hujui unachokitetea!!
Wewe badala uulize how provisional of education can be free kupitia serikali ijayo ya Lowassa na CHADEMA/UKAWA, unaloloma kama fisi aliye na njaa!!
By any means, hii policy ni nzuri sana lakini swali kuu lisilo la kama umevuta bangi kama wewe ktk bandiko lako liwe;
Kwa vipi CHADEMA/UKAWA kupitia kwa mgombea wao EDWARD N. LOWASSA ataweza isiwe kwa CCM na MAGUFULI WAO pamoja na akina MWINYI, MKAPA na KIKWETE walioshindwa for more than 50yrs??
Si hivyo tu bali ni lazima tuwahoji hawa wagombea wetu na vyama vyao wanavyoviwakilisha swali hili la msingi, kwamba, wanaposema "serikali yao ijayo watakayoingoza elimu itakuwa bure (msingi hadi kidato cha nne - CCM/Magufuli) au (chekechea hadi chuo kikuu - CHADEMA/UKAWA/Lowassa)", wanamaanisha nini??
Hili la mwisho ni la msingi sana ili kutuondolea mashaka kama uliyonayo wewe ya namna watakavyotekeleza sera hii hasa kwa namna watakavyopata pesa ya kugharamia hili!!