Hatutajulikana kama pesa tunazo.

Hatutajulikana kama pesa tunazo.

Joined
Feb 7, 2013
Posts
43
Reaction score
3
Siku kadhaa zilizo pita maeneo ya nyamhongoro igoma mwanza watu wapatao 7 wamevamia guest mida ya saa 12 jioni kabla ya yote wali piga lisasi hewani ili kutisha wananchi lakni wananchi wali kakamaa natkupambana nao na kufanikiwa kuwauja wahalifu 2 walikutwa na risasi 700 .
 
hata mimi sijaelewa unachotaka kuongea maana kichwa cha habari na habari yenyewe tofauti
 
Bangi za polisi hizi, sijui kanywa viroba, anaandika kama yupo kwenye mixer!! Kyaa!
 
Mpeni nafasi; Jamenii tuwe na kasubira kidogo: kama wa kusaidiwa basi msaidieni...huyo kesh atakuwa Head of deprt.
 
Gesi la polisi.
Naona unatutoa kwenye mjadala au ulitaka kuwa wakwaza kupost?
 
Back
Top Bottom