Hatuongei siku ya tatu leo

Status
Not open for further replies.
Unaenda kupata lunch Sista! Mbona ulisema kuwa utakuwa bize kwenye kicharazio (key board) na ku-comment thread zote za JF? Alafu, kwanini huyu shemeg yetu anakufanyia hivi?; tumeambiwa tukae na wake zetu kwa akili na busara.

watu wapo makini kwa kusubor feedback
 
Last edited by a moderator:

atleast umejaribu kuonesha njia,,,
 
ndoa ya mda gani hiyo
mbona enzio wananuniwa miezi na wako poa tu...

watu huwa wanaboreka na maongezi yale yale sometimes
kama ana stress anataka space
sio wewe uanze kujifanya unataka attention kama mtoto mchanga
hao wanaonuniwa miezi na wapo poa, wana mpango wa kando hao.
 

We mwanamke ni mjinga sana ndio maana unadhani suluhu ni wewe kususa na kushinda pm.

MUMEO SI CHIZI MPAKA AFANYE HAYO BILA SABABU,JITAZAME UPYA. TATIZO LA WATU MNAOLETA STORY HAPA MNALETA ZA UPANDE UMOJA. YANI UME ACT KAMA MALAIKA KWENYE STORY YAKO.

NAKUHAKISHIA UTOWEZA KUSHINDANA NA MUMEO.
 
Last edited by a moderator:
we umeongea kila kitu... raha ya kununa uwe na sababu, sasa huyu jamaa hajatoa sababu anampa mwenzake mtihani wa kuanza kuhisi sababu kibao. sista unatakiwa umbake tu huyo

Hakuna raha kama kubakwa.....last time nilijifanya nimesusa ..akataka kunibaka kumbe nilikuwa on fire!!!!.. nilimgonga mpaka akafikia ile point ya kurusha maji ... squirt point.... teh ladies u know this better!
 
je huwa mnalala na ngo zenu au naked?
ni ngumu sana kumtamanisha mwenzio wakati amekununia kama mnalala mkiwa mmevaa nguo zenu. maana kama mnalala naked, hauhitaji hata kumgusa mkono na kiuno ili umvutie kwako.

panda kitandani na kanga yako ya mchina ndani vaa Gstring. we jigeuze geuze mpaka makalio yaguse dushelele lake huku ukijifanya umepitiwa na usingizi saa hizo kanga ishakutoka mwilini. pataeleweka tu kama ni kweli hajapata vizuri kwa siku tatu. hawa watu ni dhaifu, akiguswa na viungo vilaini (kalio, nyonyo), mbona anashutuka tu
 
Hakuna raha kama kubakwa.....last time nilijifanya nimesusa ..akataka kunibaka kumbe nilikuwa on fire!!!!.. nilimgonga mpaka akafikia ile point ya kurusha maji ... squirt point.... teh ladies u know this better!
duh! I can imagine... ni rahisi sana kwa mwanamke kubaka mwanaume kuliko mwanaume kubaka mwanamke
 
DEMBA huezi amini mimi nameinjoi ndoa for all 3 years. ni hiz siku chache nadhani mume wangu anakitu au kaonja nje. lkn namwamini. ndoa ni tamu hasa chemistry zikichaji kotekote

mh! Sista embu nipe kitchen party namiye nijekuenjoy ndoa,unaposema chemistry zikichaji kotekote unamanisha nini? Siondoki hadi unambie...
 
Last edited by a moderator:

Pole sana Shemeji! Hebu jaribu kuangalia kama kunakitu uliwahi kumdanganya siku zilizopita na wewe umesahau huenda ameshagundua ulimdanganya sasa amebaki ameduwaa na moyo wake ememshuka! mara nyingi sisi wanaume tunakuwa na aibu ya kuwashushua wake zetu pale tunapogundua walitudanganya kitu fulani na tunabakia kuumia rohoni! Pia jiulize ni kwanini akununie wewe tu??? Mbembeleze wewe jishushe tu hii itakusaidia tena jiweke katika nafasi ya mkosaji na uwe mnyenyekevu nakuhakikishia haita chukua muda utaujua ukweli na utapata suluhisho ila ukianza na mipango ya ubabe imekula kwako. Bembeleza shemeji ndivyo MUNGU alivyotuumba tukibembelezwa na kuambiwa ukweli mbona wanawake mtafurahia mapenzi! Haya Kazi kwako.
 
pipii wewe ni ke / me? Yani nimekupenda ghafla naomba uje hapa nikupe kapepsi loh!! Sista usipofuata ushauri wa pipii basi tena!!
 
Last edited by a moderator:
niache niinjoi lunch yangu. siwezi kumbaka my love atakuja mwenyewe chemistry ikiruhusu. sio wewe unayetumia mate na jelly kulazimisha

Ha ha haaa we umepinda kabisa mpaka jelly unaijua!!!!!!!

Hufai lol

Huu upotevu wako hapa mmmmmmmhhhhhhhh...!!!!!!!!!
Pampu itakuwa imeisha upepo sasa full throttle
 

ha ha ha ha.....we jamaa Ni shida aisee.
 
Sababu ndiyo hii: nyumba ndogo inataka ka-Vitz la sivyo waachane.
 

Dawa yake ndogo, njoo leo kwenye disco la Air Pambamoto kuanzia saa 1 joni, wadondoshee PMs mimi49 na Heaven on Earth wakupe route.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…