Sista
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,208
- 1,038
- Thread starter
- #241
ndio maana hueleweki ijumaa umeshinda hapa jumamosi na leo pia. unamkumbika mungu gani wewe kiumbe??
hebu piga magoti uombewe wewe OLESAIDIMU
Last edited by a moderator:
Hadi ufundi wa pampu nimekupa just in case kuna failure ya pulling waaaapi!!!!!!kwa hiyo umefurahi sio? ukikuwa utaelewa alivyosema maji ya bomba alimaanisha nini
cc mimi49
Nakucheka sababu mjanja maneno kibao ila umeshindwa kumgegedesha huyo mtu hapo!!!!!?????
Waeza kuta ye mwenyewe anasema "akimaliza kupika leo ntamkamua mpaka ajue kuwa mimi ni mumewe" ukimaliza kula ingia na maji chumbani najua utapotea tu mida flani
ndio maana hueleweki ijumaa umeshinda hapa jumamosi na leo pia. unamkumbika mungu gani wewe kiumbe??
hebu piga magoti uombewe wewe OLESAIDIMU
vipi tena OLESAIDIMU na Sista???kulikoni??
Pole sana dada na masaibu ya ndoa uvumilivu ni muhimu kuna kauli nilisoma mahali kuwa mwanaume atasema tu yanayomsibu kama ana uhakika wa kuwa hutapingana nae hata kama ni mikasa ya kazini . Usilipize kisasi kamwe maana mkipanda wote juu itakuwa haipendezi. Inabidi kuwa mvumilivu
Ni poa asee vip kwanivipi tena OLESAIDIMU na Sista???kulikoni??
Jana na juzi mume wangu karudi na kisirani. simwelewi nimemuudhi mimi au kaudhiwa huko alikotoka. kanuna tuuu. nikimsemesha anajibu kiaina kama analazimishwa. chakula mezani anaonjaonja kidogo anaacha. haki yangu yangu ya unyumba kanipa jana kwa kubip kama anatwanga mahindi kwenye kinu wala sijafika popote...mmxxiu...&%# masikini kiu yangu iko palepale. alfajili ya leo nimemshika kiuno kumgeuzia kwangu anigegede kagoma ajifanya kazidiwa na usingizi. nimfanyeje. hiv wanaume wengine wakoje?
Sasa atanikoma, simuulizi wala nini mbona ananiletea mambo ya kitoto? Basi na mie leo nitakuwa bize kama hayupo vile... ijumaa, jumamosi na leo jumapili mh this is too much!!! na mie naweka pose nitacomment thread zote na kuchat JF leo siku nzima nijiweke bize. hadi PM nitajiachia kama sina akili nzuri vile. Thax Mods for MMU najua mates hawataniacha
Smile Nyani Ngabu Heaven on Earth Washawasha sister Mzizi mkavu nipe ushauri wa kitabibu if possible Broken soul mimi49 Mrembo by Nature watu8 mwekundu miss chagga tinna cute Simplicity Eiyer etc
Umepotea cku hizi ulikuwa umefichwa? :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:Ni poa asee vip kwani
bomba lisipotoa maji fasta unatoa upepo kwanza ikigoma tena ndio unatafuta fundi proffesional
Hebu twende huku my brodha....Hewaaaaa legeza banjo bolt piga resi you never know labda pump imeingiza upepo!!!!
Haya fasta kabla hujaaagwa kwa kikao cha harusi ya mshikaji wa ofisini
Umepotea cku hizi ulikuwa umefichwa? :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
Yeah kila kitu kipo poa....Basi tumuache Sista atafakari ushauri tulompa twenzetu!!!Nipo bhana life tu mishe hapa na pale! !!!!!!!
Mko poa??!!!
mi naenda kula lunch bana nyi endeleeni