Hatuongei siku ya tatu leo

Hatuongei siku ya tatu leo

Status
Not open for further replies.
Umeona eeenh huyu Sista akishiba lazima atafanya shambulio la aibu tu!!!!

niache niinjoi lunch yangu. siwezi kumbaka my love atakuja mwenyewe chemistry ikiruhusu. sio wewe unayetumia mate na jelly kulazimisha
 
Last edited by a moderator:
hahahhahaa
Sista asanteee,bt wakat gani wanandoa
mnafurahi,always nasoma challenges hapa,si wanaume si wanawake

haa haa haa yaani topic za mmu zinaweza kukufanya usitamani kuingia ndoani
 
Last edited by a moderator:
haa haa haa yaani topic za mmu zinaweza kukufanya usitamani kuingia ndoani

DEMBA huezi amini mimi nameinjoi ndoa for all 3 years. ni hiz siku chache nadhani mume wangu anakitu au kaonja nje. lkn namwamini. ndoa ni tamu hasa chemistry zikichaji kotekote
 
Last edited by a moderator:
Unaenda kupata lunch Sista! Mbona ulisema kuwa utakuwa bize kwenye kicharazio (key board) na ku-comment thread zote za JF? Alafu, kwanini huyu shemeg yetu anakufanyia hivi?; tumeambiwa tukae na wake zetu kwa akili na busara.
 
Last edited by a moderator:
haa haa haa yaani topic za mmu zinaweza kukufanya usitamani kuingia ndoani

mdau DEMBA acha tu,ndo maana nimemuuliza Sista inawezekanaje mnanuniana siku 3,while sleeping in the same bed???any way tukiingia huko labda ndo tutaona,sasa yakishaisha huwa wanaulizana??juu ya yaliyopita
 
Last edited by a moderator:
Jana na juzi mume wangu karudi na kisirani. simwelewi nimemuudhi mimi au kaudhiwa huko alikotoka. kanuna tuuu. nikimsemesha anajibu kiaina kama analazimishwa. chakula mezani anaonjaonja kidogo anaacha. haki yangu yangu ya unyumba kanipa jana kwa kubip kama anatwanga mahindi kwenye kinu wala sijafika popote...mmxxiu...&%# masikini kiu yangu iko palepale. alfajili ya leo nimemshika kiuno kumgeuzia kwangu anigegede kagoma ajifanya kazidiwa na usingizi. nimfanyeje. hiv wanaume wengine wakoje?

Sasa atanikoma, simuulizi wala nini mbona ananiletea mambo ya kitoto? Basi na mie leo nitakuwa bize kama hayupo vile... ijumaa, jumamosi na leo jumapili mh this is too much!!! na mie naweka pose nitacomment thread zote na kuchat JF leo siku nzima nijiweke bize. hadi PM nitajiachia kama sina akili nzuri vile. Thax Mods for MMU najua mates hawataniacha

Smile Nyani Ngabu Heaven on Earth Washawasha sister Mzizi mkavu nipe ushauri wa kitabibu if possible Broken soul mimi49 Mrembo by Nature watu8 mwekundu miss chagga tinna cute Simplicity Eiyer etc

Bembeleza raha ya mume kubembelezwa shosti,na mwanamke shuti uwe chini siku zote (kama waafrika mnavyofunzwa) jifanye jiwe tuanze kugawana!!
 
Unaenda kupata lunch Sista! Mbona ulisema kuwa utakuwa bize kwenye kicharazio (key board) na ku-comment thread zote za JF? Alafu, kwanini huyu shemeg yetu anakufanyia hivi?; tumeambiwa tukae na wake zetu kwa akili na busara.
 
Last edited by a moderator:
DEMBA huezi amini mimi nameinjoi ndoa for all 3 years. ni hiz siku chache nadhani mume wangu anakitu au kaonja nje. lkn namwamini. ndoa ni tamu hasa chemistry zikichaji kotekote

usimdhanie,,,,
 
Last edited by a moderator:
Huyo ana matatizo anahitaji masaada, ukifanya hivyo ndio unamuumiza zaidi, huyo ana frustration. Nakushauri fanya yafuatayo.

1. Mwambie aseme tatizo lake ni nini ili muliongelee na msaidiane kulitatua. mwabie kuwa wewe uko hapo ili kusaidiana naye sio kununiana. kukaa kwake kimya hakutasaidia lolote. Type ya watu hawa huwa uamuzi wao ni kujitundika au kujiua kwa namna yeyote, ndio maana nimekwambia anahitaji msaada na wala usimuongezeee kumuumiza.

2.Mwabie kuwa anavyoendelea kukuficha maana yake ana alot of business outside ambazo hakuhusishi ndio maana anashindwa kukuambia. pengine amezulumiwa pesa nyingi sana katika mipango yake ya siri sasa anashindwa kufunguka. Sasa tumia muda huu kumuweka katika hali ambayo atafunguka na hapo ndio utakuwa ushindi kwako. Na akufunguka hata kama ni mambo ya kuudhi usikasirike jizuie, na hivyo atazidi kuona kumbe wewe ndio kimbilio lake anapokuwa na matatizo. uki react atasema ndio maana nilikuwa sitaki kukuambia. hivyo be calm, cool and help your husband/fiance/boyfriend na atakudhamini zaidi.

3. Kama wewe ni mtu wa dini jaribu kumuombea ili mungu amsaidie na pia aumbue siri zake ambazo huwa anazifanya bila kukushirikiwa kinyume na inavyotakiwa.

4. Kama wewe na dini au maombi ni mbali mbali basi jaribu kumchunia kiasi ili aone machungu ya ujinga anaokufanyia. hii huwa ina balance situation. Lakini usiruhusu mahusiano ya karibu na watu ambao wanaweza kuitumia nafasi hii kama njia ya kukupata wewe au kukushauri uende nje kidogo. Ni rahisi sana katika hali kama hiyo mtu kushawishika kwenda kutembea nje, maana wakati yeye anakuringia kuna atu wanakutaka kwa gharama yeyote ile. NAKUSHAURI USIRUHUSI HILO LITOKEE. Huwezi jua pengine kaenda kupima ukimwi kaambia anao na anashindwa kukuambia hivyo anatafakari madhara ambayo ameyaleta kwenye familia huku akiumia na kukosa hamu ya kufanya mapenzi.

5.Kujaribu kulainisha ili aseme tatitzo tumia njia hii.Jaribu kumtania juu ya sababu ambazo zinazomfanya asiseme ikiwa ni pamoja na zile ambazo ni imposible, mafano
a) WEWE inaonekana umepigwa kibuti na demu wako wa nje, hata kama unajua hana.
b) Umepima umekutwa una ngoma unashindwa kusema
c) Umezulumiwa deal zako za siri
d) Umepewa libwata huko nje ndio maana mawazo yako hayapo kwangu
e) Umefukuzwa kazi, halafu unaogopa kuniambia
f) na mengine mengi
kati ya hizo ipo moja itakuwa sahihi au itakaribiana na ukweli hivyo anaweza kufunguka, pia anaweza kukuona kuwa umekosea sana na unamuwazia vibaya hivyo ni hatari kama akiendelea kukaa kimya hivyo atafunguka.

He is a problem already + wewe ukiongezea problem = more problems

hivyo hakikisha kila utakacho fanya hakiongezei problem bali ni kusolve problem
Unaweza toka nje leo na baadae mambo yakawa poa na mkaendelea vizuri tu lkn adhari zake zitakuja onekana after 5 or 10 years. be careful dada. Halafu matatizo ya ndoa usiweke hadharani sana.

Jaribu hayo niliyo kushauri yakigonga mwamba njoo tena nitakushauri mpaka utapata suluhu tena kwa amani.

6. Jiamini kuwa you are more cleaver na utalisove hilo tatizo na litaisha ili usikaribishe matatizo mengine.
 
Unaenda kupata lunch Sista! Mbona ulisema kuwa utakuwa bize kwenye kicharazio (key board) na ku-comment thread zote za JF? Alafu, kwanini huyu shemeg yetu anakufanyia hivi?; tumeambiwa tukae na wake zetu kwa akili na busara.

napumzika vidole vinauma. na ova time mods hawatoi
 
Last edited by a moderator:
Sista, Msamehe Mumeo na Rekebisha ulipojikwaa ili muendelee, na wewe ukiuchuna si itakua hatari sasa ???? Hebu Rekebisheni bwana maisha yaendelee
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom