Hatuongei siku ya tatu leo

Hatuongei siku ya tatu leo

Status
Not open for further replies.
Ila sipendagi hako katabia manake mtu umezoea kucheka nae ndani mara anarudi na stress sijui za kaz,mpira,madeni bar,kibuti cha hawara anazimalizia kwa mkewe!
Usireact kihivyo kulipiza nalo ni tatizo jingine,leo kama utashinda nyumbani jaribu kufanya romantic things....ukiona unamsemesha hajibu mtumie sms mweleze unavyojisikia na unavyopata tabu na hali yake..
Asiporespond huyo atakua ana lake moyoni.....
 
Akiendelea kugoma utafanyaje...


nitafanyaje Tuko sina la kufanya. nimeamua kusocialize JF nikutane na great thinkers wenzangu nigain issues
 
Last edited by a moderator:
Ila sipendagi hako katabia manake mtu umezoea kucheka nae ndani mara anarudi na stress sijui za kaz,mpira,madeni bar,kibuti cha hawara anazimalizia kwa mkewe!
Usireact kihivyo kulipiza nalo ni tatizo jingine,leo kama utashinda nyumbani jaribu kufanya romantic things....ukiona unamsemesha hajibu mtumie sms mweleze unavyojisikia na unavyopata tabu na hali yake..
Asiporespond huyo atakua ana lake moyoni.....

Jawilat ningefanya mimi anachonifanyia ingekuwa kesi pangechimbika humu ndani hadi kwa wazazi kanyimwa unyumba. anavyoniacha namtamani kila akikatiza mbele ya macho yangu naumia. je mimi ningemwacha 'mnyama' wake namwona kapaa hewani kisha namshit ingekuwaje
 
Last edited by a moderator:
nitafanyaje Tuko sina la kufanya. nimeamua kusocialize JF nikutane na great thinkers wenzangu nigain issues

Mambo ndo hayo... Ila hamu itabaki palepale...
 
Last edited by a moderator:
Mama watoto angemua njia hii, naona hasira zingekua zinapita pembeni. Labda ningepata ugonjwa wa kununa nikihisi labda kuna mtu anakugegeda, ashakhum, limeniteleza tu, si unajua keyboard haina nyama.
Hataki sasa mie nifanyeje. njia nzuri ya kuanzisha mazungumzo ni mimi nikiwa kwenye kiuno tumeshagegedana namwambia asitoe kisha naanza kumpapasa kichwani huku namuuliza kimtegomtego. yeye yuko kaa katiwa ndimu haongei acheki
 
Mambo ndo hayo... Ila hamu itabaki palepale...


Wee umekazania hamu hamu hebu niache banaaaa nina uchungu mwenzio. jamaa yuko kwenye TV sasa hivi naona anabadili channel tu
 
Mama watoto angemua njia hii, naona hasira zingekua zinapita pembeni. Labda ningepata ugonjwa wa kununa nikihisi labda kuna mtu anakugegeda, ashakhum, limeniteleza tu, si unajua keyboard haina nyama.

cha' kununa ingekuwa ugonjwa mbona ningekimbilia dawa duka la dawa baridi fastaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Wee umekazania hamu hamu hebu niache banaaaa nina uchungu mwenzio. jamaa yuko kwenye TV sasa hivi naona anabadili channel tu

Hahahaaa. .. hebu mvae hapo hapo kwa tv mnyonye mate kama dk 20 mfululizo usipoona kununa kukaisha...
 
Jawilat ningefanya mimi anachonifanyia ingekuwa kesi pangechimbika humu ndani hadi kwa wazazi kanyimwa unyumba. anavyoniacha namtamani kila akikatiza mbele ya macho yangu naumia. je mimi ningemwacha 'mnyama' wake namwona kapaa hewani kisha namshit ingekuwaje

ndo walivyo mpenzi jaribu siku kununa patachimbika..anyway mim alikujaga amenuna hivyo..nikamvumilia nikashndwa..nikasubiri ameenda bafuni nikamfata hukohuko nikavua nguo nikamwambia nimekuja kuoga..aaaah si unajua kama ni rijali kitaeleweka tu...mpaka leo sijui hasira zake ziliendaga wap!
 
Last edited by a moderator:
Jana na juzi mume wangu karudi na kisirani. simwelewi nimemuudhi mimi au kaudhiwa huko alikotoka. kanuna tuuu. nikimsemesha anajibu kiaina kama analazimishwa. chakula mezani anaonjaonja kidogo anaacha. haki yangu yangu ya unyumba kanipa jana kwa kubip kama anatwanga mahindi kwenye kinu wala sijafika popote...mmxxiu...&%# masikini kiu yangu iko palepale. alfajili ya leo nimemshika kiuno kumgeuzia kwangu anigegede kagoma ajifanya kazidiwa na usingizi. nimfanyeje. hiv wanaume wengine wakoje?

Sasa atanikoma, simuulizi wala nini mbona ananiletea mambo ya kitoto? Basi na mie leo nitakuwa bize kama hayupo vile... ijumaa, jumamosi na leo jumapili mh this is too much!!! na mie naweka pose nitacomment thread zote na kuchat JF leo siku nzima nijiweke bize. hadi PM nitajiachia kama sina akili nzuri vile. Thax Mods for MMU najua mates hawataniacha

Smile Nyani Ngabu Heaven on Earth Washawasha sister Mzizi mkavu nipe ushauri wa kitabibu if possible Broken soul mimi49 Mrembo by Nature watu8 mwekundu miss chagga tinna cute Simplicity Eiyer etc

Mara nyingi wanandoa wakiwa wamenuniana wakishapeana unyumba huwa hali inarudi kawaida. Huyo wa kwako vip?!
 
Last edited by a moderator:
ndo walivyo mpenzi jaribu siku kununa patachimbika..anyway mim alikujaga amenuna hivyo..nikamvumilia nikashndwa..nikasubiri ameenda bafuni nikamfata hukohuko nikavua nguo nikamwambia nimekuja kuoga..aaaah si unajua kama ni rijali kitaeleweka tu...mpaka leo sijui hasira zake ziliendaga wap!

hahahaha ngoja nivute pumzi nitumie hii njia
 
Wanatulalamikiaga sisi et tukikasirika hatuwapi vidudu vyetu kumbe na wao ndivyo walivyo!! Duu! Atakuwa kamfumania small hauz huyo aliyempangia chumba siyo bure!! Chamsing wewe usimnunie wala nini ndio kwanza ongeza mahabat mwenyewe atakupa dudu lake!! Hahaha!!
 
Mara nyingi wanandoa wakiwa wamenuniana wakishapeana unyumba huwa hali inarudi kawaida. Huyo wa kwako vip?!

imagine alfajili saa kumi na moja i tried kumpapasa kiuno ili nimvute karibu yangu kanitolea nje na ameamka yupo serious kama mgambo wa jiji
 
Wanatulalamikiaga sisi et tukikasirika hatuwapi vidudu kumbe na wao ndivyo walivyo!! Duu! Atakuwa kamfumania small hauz huyo aliyempangia chumba siyo bure!! Chamsing wewe usimnunie wala nini ndio kwanza ongeza mahabat mwenyewe atakupa dudu!! Hahaha!!

nishakoga nimejikoki na khanga ya mchina hapa
 
imagine alfajili saa kumi na moja i tried kumpapasa kiuno ili nimvute karibu yangu kanitolea nje na ameamka yupo serious kama mgambo wa jiji

Ni kawaida yenu kupata cha asbh lakin?... maana kuna watu wengine asbh hawapendi (kama mimi)...
 
ndoa ya mda gani hiyo
mbona enzio wananuniwa miezi na wako poa tu...

watu huwa wanaboreka na maongezi yale yale sometimes
kama ana stress anataka space
sio wewe uanze kujifanya unataka attention kama mtoto mchanga
 
Kuna watu humu walishaachama kama mamba walijua kitoweo hichoooo!!!

Mna muda gani kwenye ndoa Sista? Ndivyo anavyofanyaga ukimuudhi? Kama hii ni mpya basi kuna kubwa limemsibu,jaribu kumuuliza taratibu tu kama kuna tatizo na hata akikataa kusema itafsiri kuwa hajawa tayari bado. Usifanye kisirani mamy,wewe ni mkewe na hawezi kukununia milele hata kama ana zito gani kuna siku atalitua tu kwako,mpe nafasi anayoihitaji ila usiwe na kinyongo moyoni,mpe huduma zote anazostahili kama mume,akiwa nyumbani kaa naye jirani ila usimuulize tena yanayomsibu. Jitahidi kuwa wa kawaida kama anayofanya hayakukeri vile soon atajiona mjinga na atafunguka tu.
Pole mwaya kila mwanaume ana yake yanayokera


si kitoweo kimekuja kutafuta mamba au huoni? lol
 
ndoa ya mda gani hiyo
mbona enzio wananuniwa miezi na wako poa tu...

watu huwa wanaboreka na maongezi yale yale sometimes
kama ana stress anataka space
sio wewe uanze kujifanya unataka attention kama mtoto mchanga

The Boss ndoa ya miaka mitatu hajawahi kufanya ujinga huu hata siku moja.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom