Hatuongei siku ya tatu leo

Hatuongei siku ya tatu leo

Status
Not open for further replies.
sasa umepata mbinu ya kutatua tatizo,naona Kimyaaaa!!!!
 
Jana na juzi mume wangu karudi na kisirani. simwelewi nimemuudhi mimi au kaudhiwa huko alikotoka. kanuna tuuu. nikimsemesha anajibu kiaina kama analazimishwa. chakula mezani anaonjaonja kidogo anaacha. haki yangu yangu ya unyumba kanipa jana kwa kubip kama anatwanga mahindi kwenye kinu wala sijafika popote...mmxxiu...&%# masikini kiu yangu iko palepale. alfajili ya leo nimemshika kiuno kumgeuzia kwangu anigegede kagoma ajifanya kazidiwa na usingizi. nimfanyeje. hiv wanaume wengine wakoje?

Sasa atanikoma, simuulizi wala nini mbona ananiletea mambo ya kitoto? Basi na mie leo nitakuwa bize kama hayupo vile... ijumaa, jumamosi na leo jumapili mh this is too much!!! na mie naweka pose nitacomment thread zote na kuchat JF leo siku nzima nijiweke bize. hadi PM nitajiachia kama sina akili nzuri vile. Thax Mods for MMU najua mates hawataniacha

Smile Nyani Ngabu Heaven on Earth Washawasha sister Mzizi mkavu nipe ushauri wa kitabibu if possible Broken soul mimi49 Mrembo by Nature watu8 mwekundu miss chagga tinna cute Simplicity Eiyer etc

alaaaaa.kumbe ndoa zina changamoto hivi???
 
Last edited by a moderator:
yaani comment imejaa umbea kama jina lako nitonye. kuna wanaume marijali nikisema nimetupia mtandio wa kichina wanaharibikiwa humu ndan

cc OLESAIDIMU


Asome tangu mwanzo,watu washabadili na za ndani kwa imagination tu yeye anaulizia saa hizi!!!!!!

Chezeiyah uchuu veve
 
Last edited by a moderator:
bado ila mood zinaanza kumtoka ameanza kuongea namvutia pumzi kikubwa

Sasa fanya ivi usimuulize kitu chochote kama unafanya kazi jitaidi kurudi mapema kabla yake pika chakula anachopenda oga vizuri piga brash pwapwi yako vizuri. Akirudi mpe chakula kidogo ambacho unajua ashibi' uku na kanga moja ya zamani ishike kimitego kaa kiasara asara sana ata milalo yako ya ajabu ajabau. Kazi ya siku mbili utanipa jibu
 
Sasa fanya ivi usimuulize kitu chochote kama unafanya kazi jitaidi kurudi mapema kabla yake pika chakula anachopenda oga vizuri piga brash pwapwi yako vizuri. Akirudi mpe chakula kidogo ambacho unajua ashibi' uku na kanga moja ya zamani ishike kimitego kaa kiasara asara sana ata milalo yako ya ajabu ajabau. Kazi ya siku mbili utanipa jibu

Haaaa...mr mpole ndio mitego ya mama hiyo..chezea wanaume anaweza akafnya vyote hivyo na ajikaushe..kuna mijitu mijeuri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom