Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,138
Nami ntaenjoy kuwa bwana.jela!!!!!
Halafu wewe! Shauri yako
Nami ntaenjoy kuwa bwana.jela!!!!!
Sasa fanya ivi usimuulize kitu chochote kama unafanya kazi jitaidi kurudi mapema kabla yake pika chakula anachopenda oga vizuri piga brash pwapwi yako vizuri. Akirudi mpe chakula kidogo ambacho unajua ashibi' uku na kanga moja ya zamani ishike kimitego kaa kiasara asara sana ata milalo yako ya ajabu ajabau. Kazi ya siku mbili utanipa jibu
Halafu wewe! Shauri yako
Haaaa...mr mpole ndio mitego ya mama hiyo..chezea wanaume anaweza akafnya vyote hivyo na ajikaushe..kuna mijitu mijeuri[/QUOTE]
Huyo atakuwa na lake jambo na dawa yake kujifanya kama humhitaji!!
yaani upigwe kibuti na hawala uje nyumbani umnunie mkeo!! kisha uwe non perfoma kunako ndoa!!! hainiingii akilini hii
Nimeupenda huu ushauri, ngoja niuhifadhi kwa matumizi ya baadaye!!!
Usiseme hukuonywa tu!Mkwala jike huo!!!
What if na enjoy kuwa prisoner?
Usiseme hukuonywa tu!
Inategemea na sababu,kama umezingua halafu ujikalishe uchi ndio kinyaa kinazidi saasa!!!!
Haaaa...mr mpole ndio mitego ya mama hiyo..chezea wanaume anaweza akafnya vyote hivyo na ajikaushe..kuna mijitu mijeuri[/QUOTE]
Huyo atakuwa na lake jambo na dawa yake kujifanya kama humhitaji!!
Mbona ndio dawa..ennie unajifanya na wewe pia utaki..mimi 2yrs back nilikuwa naona kama siwezi kuishi bila yeye siku alinifanyia tukio hilo sintokaa nisahau.nililia sana aikusaidia nikaja nikaona mbona nife na bado nataka kuishi.nikasema ngoja nimwache akichoka ataacha mikausho siulizi uko wapi na unarudi muda gani..mbona aliacha moyoni namwambia hapa panaitwa mtakuja..
hiyo inawezekana kasikia jambo baya kuhusu mkeweAtatulia tu au pengine amesikia habari mbaya kuhusu wewe. Jaribu kujishusha na kuwa mpole mwishowe atakuambia why kawa vile. Pole sana mama
Ennie unafanana na mimi! I hate to be free....... napendwa kufatwafatwa, kuonewa wivu lakini kwa yule naempenda lol!
Jana na juzi mume wangu karudi na kisirani. simwelewi nimemuudhi mimi au kaudhiwa huko alikotoka. kanuna tuuu. nikimsemesha anajibu kiaina kama analazimishwa. chakula mezani anaonjaonja kidogo anaacha. haki yangu yangu ya unyumba kanipa jana kwa kubip kama anatwanga mahindi kwenye kinu wala sijafika popote...mmxxiu...&%# masikini kiu yangu iko palepale. alfajili ya leo nimemshika kiuno kumgeuzia kwangu anigegede kagoma ajifanya kazidiwa na usingizi. nimfanyeje. hiv wanaume wengine wakoje?
Sasa atanikoma, simuulizi wala nini mbona ananiletea mambo ya kitoto? Basi na mie leo nitakuwa bize kama hayupo vile... ijumaa, jumamosi na leo jumapili mh this is too much!!! na mie naweka pose nitacomment thread zote na kuchat JF leo siku nzima nijiweke bize. hadi PM nitajiachia kama sina akili nzuri vile. Thax Mods for MMU najua mates hawataniacha
Smile Nyani Ngabu Heaven on Earth Washawasha sister Mzizi mkavu nipe ushauri wa kitabibu if possible Broken soul mimi49 Mrembo by Nature watu8 mwekundu miss chagga tinna cute Simplicity Eiyer etc
ndoa ya mda gani hiyo
mbona enzio wananuniwa miezi na wako poa tu...
watu huwa wanaboreka na maongezi yale yale sometimes
kama ana stress anataka space
sio wewe uanze kujifanya unataka attention kama mtoto mchanga
Sasa fanya ivi usimuulize kitu chochote kama unafanya kazi jitaidi kurudi mapema kabla yake pika chakula anachopenda oga vizuri piga brash pwapwi yako vizuri. Akirudi mpe chakula kidogo ambacho unajua ashibi' uku na kanga moja ya zamani ishike kimitego kaa kiasara asara sana ata milalo yako ya ajabu ajabau. Kazi ya siku mbili utanipa jibu