sukankanwa
Member
- Nov 20, 2013
- 92
- 8
yawezekana amepata taarifa mbaya kuhusu wewe,wewe usimuulize kama hujamfanyia kosa pia uwe na amani.
We ulitegemea thread yako italeta majonzi???!!!!!!
Niruhusu basi nikamfariji Sista
Ndiyo manake mi ya kwangu kazi yake kubwa ni chumbani lol! Inapagawishaje!!! tumpm sista tumfundishe kuitumia na chetezo lol mume gumegume ataongea tuu
yawezekana amepata taarifa mbaya kuhusu wewe,wewe usimuulize kama hujamfanyia kosa pia uwe na amani.
mnhhh we mtundu kumbee
Na hasa kama ume import kutoka Saudia
Ila wanaume tusije na wapenzi wetu!!!!!
Noted HuntersQ na wao wanaona hapa!!!!!!
Bunge kama kamati!!!!!
Ahaaaa kumbe wa humu MMU hao ni ruksa!
utundu katika mapenzi ndio nguzo ya ndoa. nikikaa kama gogo itakuwa noma bana
Hakuna swali hapo cha asubuhi kina kawaida ya kutengeneza dira ya siku nzima
Nina shida mimi!