Hatuongei siku ya tatu leo

Hatuongei siku ya tatu leo

Status
Not open for further replies.
Jana na juzi mume wangu karudi na kisirani. simwelewi nimemuudhi mimi au kaudhiwa huko alikotoka. kanuna tuuu. nikimsemesha anajibu kiaina kama analazimishwa. chakula mezani anaonjaonja kidogo anaacha. haki yangu yangu ya unyumba kanipa jana kwa kubip kama anatwanga mahindi kwenye kinu wala sijafika popote...mmxxiu...&%# masikini kiu yangu iko palepale. alfajili ya leo nimemshika kiuno kumgeuzia kwangu anigegede kagoma ajifanya kazidiwa na usingizi. nimfanyeje. hiv wanaume wengine wakoje?

Sasa atanikoma, simuulizi wala nini mbona ananiletea mambo ya kitoto? Basi na mie leo nitakuwa bize kama hayupo vile... ijumaa, jumamosi na leo jumapili mh this is too much!!! na mie naweka pose nitacomment thread zote na kuchat JF leo siku nzima nijiweke bize. hadi PM nitajiachia kama sina akili nzuri vile. Thax Mods for MMU najua mates hawataniacha

Smile Nyani Ngabu Heaven on Earth Washawasha sister Mzizi mkavu nipe ushauri wa kitabibu if possible Broken soul mimi49 Mrembo by Nature watu8 mwekundu miss chagga tinna cute Simplicity Eiyer etc
Pole mpenzi na sorry kwa kuchelewa kuitika wito nilikuwa nakoroma mwe:smile-big::smile-big::smile-big:...Inabidi ujitoe mhanga sasa bi shost jiweke fresh vaa ile sexy lingerie au mtandio wa dera :A S tongue🙁nimejifunza kitu kipya mwe),jifukize udi kisha mfate kama alivyosema @olesaidimu au ikiwezekana mtumie sms mwambie aje chumbani kuna zawadi yake mwe
 
Lakini hakikisha amekula lunch na dinner iwe nzuri mpenzi sawa.... akienda kuoga mfuate alafu mfanye kwa nguvu
 
Unaishi kwa tetesi?
Ndio maana mnanuna nuna hovyo

Ikiitwa clue unaona ndio ya maana eeenh!!!!!
Subiri mpaka mtego wa kunasiana ndio utajua kuwa quickie ni penzi au mashtuzi tuu!!!!
 
OLESAIDIMU na Ennie mbona mnatongozana kwenye uzi za wenzenu? go PM huko hatawaona mtu

Mtu mzina anatongozwa au anaambiwa nia tu na kujadili logistics???!!!!
Au ndio maana umekataliwa asubuhi Sista sababu ulianza kuimbisha mtu kavaa boxer tu????!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mtu mzina anatongozwa au anaambiwa nia tu na kujadili logistics???!!!!
Au ndio maana umekataliwa asubuhi Sista sababu ulianza kuimbisha mtu kavaa boxer tu????!!!!!

ha ha ha ha mbona unakuwa hivyo? kwenye ndoa haturuhusiwi kulala na boxer. tunaziona kama suruali au nguo zingine
 
Last edited by a moderator:
Pole mpenzi na sorry kwa kuchelewa kuitika wito nilikuwa nakoroma mwe:smile-big::smile-big::smile-big:...Inabidi ujitoe mhanga sasa bi shost jiweke fresh vaa ile sexy lingerie au mtandio wa dera :A S tongue🙁nimejifunza kitu kipya mwe),jifukize udi kisha mfate kama alivyosema @olesaidimu au ikiwezekana mtumie sms mwambie aje chumbani kuna zawadi yake mwe

Lucky you! !!!
Mwenzio tangu swalaa kaachama mdomo lakini waaapi hata maji ya kukatia kiu bado kupewa!!!
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha mbona unakuwa hivyo? kwenye ndoa haturuhusiwi kulala na boxer. tunaziona kama suruali au nguo zingine

Haaaaa hapana asee mi nikimaliza tu fasta kwa boxer! !!!!!
Hiyo mambo ya kulala wazi tena.kama hapo mnuno ndio kabisaaaa!!!!
Ila jamaaaa ana mapozi huyo asee yaani umemlaza na khanga umemgusisha nyama za kukalia,shika kiuno waaaapi!!!!!

Hana undugu na jamaa wa geti la magharibi???!!!!
 
mimi49 nashukuru kwa kujali. nakuonea wivu uko fresh. achana na huyu OLESAIDIMU leo kaamka kama amekunywa juice ya ndimu
Nakucheka sababu mjanja maneno kibao ila umeshindwa kumgegedesha huyo mtu hapo!!!!!?????
Waeza kuta ye mwenyewe anasema "akimaliza kupika leo ntamkamua mpaka ajue kuwa mimi ni mumewe" ukimaliza kula ingia na maji chumbani najua utapotea tu mida flani
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom