greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,319
- 3,930
Umeuliza swali zuri sana,unajua inashangaza sana from nowhere mtu unaondoa wakubwa wote wa tanesco ,
sector zingine ambazo ziko chini ya wizara ya nishati haziguswi, wakati nazo zinachangamoto nyingi. Na baada ya kuwaondoa hao viongozi ndipo vinapoanza vitimbwi na vihoja vya umeme. So iniaonesha wazi kuwa michongo watu wana draft.
sector zingine ambazo ziko chini ya wizara ya nishati haziguswi, wakati nazo zinachangamoto nyingi. Na baada ya kuwaondoa hao viongozi ndipo vinapoanza vitimbwi na vihoja vya umeme. So iniaonesha wazi kuwa michongo watu wana draft.