Hatuhoji mamlaka za uteuzi lakini tuambiwe Kalemani alikosea nini pale Nishati?

Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?

Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.

Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.

Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Kuna ubaya gani kuhoji?
Rais ni mtumishi wetu tu.
 
Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?

Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.

Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.

Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Hana majibu,ni upigaji tu ,
 
Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?

Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.

Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.

Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Kalemani hakuwa na kosa lolote mkuu.
Aliondolewa kwa mpango maalumu ili kuwapisha mafisadi waweze kuidhoofisha TANESCO kama tunavyoona hivi sasa.

Pia ni mpango maalumu wa kuondoa pro JPM kutoka kwenye system ya uendeshaji serikali.
Yote hii ni Msoga project.
 
Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?

Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.

Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.

Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.

Nchi inawenyewe mkuu…ukikuta manyoya ya kuku ujue kaliwa…

Matokeo si unayaona lakini mikataba ya gesi inasainiwa..tenda zinatolewa…mitambo inawashwa…generator zinauzwa…pump za maji zitauzwa…eeeeh ili mradi burudani tunachangamsha uchumi mkuu…kila kona kutachemka…
 
Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?

Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.

Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.

Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Mume wako jiwe wakati anatumbua alikuwa anasema sababu?
 
Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?

Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.

Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.

Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Ni Sukuma Gang Yulee Mkuu

Mimi pia nis Sukuma Gang

Mzalendo wa Kweli Nchi hii JPM

RIP

Nitaenda kuitembelea Familia ya mkuu huyu

Nawaombea Mungu awape Rehema

Amen
 
Maguful aliwahi kusema "Hakuna anayejua siri nyingi za Nchi Kama Raisi." Mama kaona hafai na unapaswa ujue hafai kumsaidia.

After all uwaziri sio ajira. Bali unamsaidia Raisi kutekeleza majikumu yake, and you will persist at the President's pleasure.
"Mama kaona hafai" sorry? Unaishi nae ikulu?
 
Kuna kipengele gani cha Katiba kinamshurutisha RAIS aseme ni kwanini ANAMTEUA/KUMTENGUA FULANI?!!!!

Mbona ulikuwa huhoji teuzi na tenguzi zilizofanywa na AWAMU YA 5?!!!

UNAFIKI HAUWASAIDII NINYI WATU
Tangu lini vilaza wa CCM mkafuata matakwa ya Katiba? Lichama lenu na nchi inaongozwa hovyo tu.
 
Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?

Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.

Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.

Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Ukitaka kujua kila kitu kinachofanyika ndani ya ccm utaugua ugonjwa wa moyo.

Ingawa nakujua kuwa wewe ni ccm lkn hiyo ndiyo hali halisi.

Umeona mwenyewe alivyo tupiwa virago Kalemani mchapa kazi asiyechoka na wizara kupewa huyo msemaji wa Simba.
 
Tofauti na nafasi za uteuzi za CAG, DPP, na majaji nafasi nyingine zote za wateuliwa sio lazima wakosee ndio waondolewe.
Usiwe mshamba wa siasa za nchi hii.
Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?

Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.

Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.

Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
 
...wewe tuambie tu wala hatuwezi kukufanya chochote ukizingatia kwanza wengi wetu wana CCM tulisharogeka na kubiringitishiwa tudude fulani twa kichina
Kudadeeeki naona kwa sasa tumeanza kuongea lugha moja tu ya maumivu.
 
Maguful aliwahi kusema "Hakuna anayejua siri nyingi za Nchi Kama Raisi." Mama kaona hafai na unapaswa ujue hafai kumsaidia.

After all uwaziri sio ajira. Bali unamsaidia Raisi kutekeleza majikumu yake, and you will persist at the President's pleasure.
Kwani ajira ni nini basi kama uwaziri siyo ajira?
 
Tusimjadili Kalemani,kumjadili yeye nikumuongezea chuki na chama.
Tujadili mifumo yote.
Mfano wa Tanesco kuwaondoa top wote na bodi yake nadhani kipenyo kilienda haraka sana.
Shirika linahitaji ujuzi siyo makundi ya siasa na uchawa.
Kuzungumzia kuondolewa bodi ya Tanesco lazima tumzungumzie Kalemani na Makamba.
 
Back
Top Bottom