Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,918
- 95,201
Kalemani ni muadilifu kuliko huyo mpiga dili wa bumbuliAlikuwa mwizi, aliwekwa pale kupiga dili za Jiwe!! Lakini vile vile hana uelewa wa kutosha kuendesha mradi wenye thamani ya tril 60 wa gas, wazungu wangekuwa wanampiga matobo kila siku na ushamba wake